Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,415
Wale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.
Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.