Baada ya Kakoko na Bashiru, sasa ni zamu ya Dotto James

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Wale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.

Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
 
Wale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.

Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
Huyo Doto James, Mama Samia hapaswi kumchekea hata kidogo...................

Anapaswa kumtumbua Mara moja huyo mpwa wa Hayati Magufuli, ambaye utendaji wake alikuwa akimtii Hayati Magufuli, badala ya kuwatumikia Umma wa watanzania
 
Wale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.

Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
Ataachwa sababu ya heshima ya mwendazake
 
Tahadhari kubwa inahitajika,huyu bwana anajua wapi Meko alipokuwa anatoa fedha za kununulia Channel Ten na zile alizokuwa anagawa barabarani wacha za kumlipa yule kandarasi maarufu aliyejenga uwanja wa Chatto
 
Wale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.

Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
Wale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.

Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
Next is Biswalo Mganga na Jaji Feleshi. Hawa watu wameumiza sana watu nchi hii. Mama Samia afanye yake tu mama yetu
 
Wale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.

Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
Kama ni fisadi lazima uende shimoni
 
Wale 'untouchables' waliokuwa wanapigiwa kelele na watanzania hatimaye wameanza kushushwa mmoja baada ya mwingine.

Baada ya Kakoko na Bashiru kushushwa sasa inafata zamu ya Dotto kushushwa. Wapo wengi, muda ukifika wote watenguliwe nyadhifa zao ili kuondoa ile sintofahamu iliyokuwa imejengeka miongoni mwa Watanzania.
Hamna lolote utaona tu huyo doto atapewa uDED ama UDC
 
Back
Top Bottom