Mkuu, hata Roman Catholic huwa hakuna kitu hicho cha kumwabudu Bikira Maria. Ni propaganda tu za waprotestant ili wahalalishe kuanzisha makanisa mapya na pengine kujitengenezea fursa za mapato. Bahati mbaya wanawakaririsha watoto wao kuwa RC wanamwabudu Bikira Maria na watoto nanyi mnaendeleza wimbo huo huo