Baada ya Jaji Augustino Ramadhani kukana kiapo chake, Kanisa la Anglicana TZ litoe ufafanuzi

News to spice up a debate

A VICAR at one of York's biggest churches is bidding to become a Conservative MP in Greater Manchester. Rev Greg Downes, who is a senior clergyman at St Michael le Belfrey Church, has been announced as the Tory candidate in Salford and Eccles - the constituency of Labour MP and ex-cabinet minster Hazel Blears.
If elected, Mr Downes could become the first serving Church of England clergyman in the Commons, after restrictions on them standing in General Elections were lifted in 2001.
Mr Downes said: "I have voted for both Labour and the Conservative party in the past, my politics are fairly centrist. I had to make a decision on which party to stand for, and I feel this is right for me. York vicar to stand in General Election - He would become first CofE clergyman in the Commons if elected (From York Press)
 
Mbona hakuna jipya hapa? Katika miaka ya 70 Padri Simon Chiwanga wa Kanisa la Anglikana alitumikia Taifa kama waziri wa elimu na mbunge (akiwa mwanachama wa TANU) na wakati huo huo akihudumu kama Padre/Mchungaji Kanisa Anglikana Ilala. Baadaye alichaguliwa kuwa askofu na kwa sasa amestaafu. Ila hili la jaji kuwa shabiki au mwanachama wa chama cha siasa limenishangaza.
 
Anglican High Church hutumia majina vyote Padre/Father au Mchungaji. Maana ya Padre ni Father, Baba; na Askofu na Mchungaji ni Padre.

Vv
Mkuu mimi nafahamu hivyo pia kwa kuwa wakati naishi visiwani jirani yetu mmoja alikuwa ni Padre wa Anglican na ndivyo alivyokuwa akiitwa.
 
Kwanini mnatumia muda mwingi kujadili masuala yasiyo na maana. Awe padre au shekhe sio dhambi yeye kuchukua fomu ya kuwania urais kwakuwa nayo ni kazi ya kuchunga kondoo wa bwana. Mbona tumeongozwa na masheikh wengi tu akina rais mwinyi na karume? Mbona hadi sasa mchungaji msigwa na rwakatale bado wanafanya kazi ya kanisa?. Kama anafaa apewe nafasi na mnaompinga twambieni wakwenu ni akina nani?
 
Kwanini mnatumia muda mwingi kujadili masuala yasiyo na maana. Awe padre au shekhe sio dhambi yeye kuchukua fomu ya kuwania urais kwakuwa nayo ni kazi ya kuchunga kondoo wa bwana. Mbona tumeongozwa na masheikh wengi tu akina rais mwinyi na karume? Mbona hadi sasa mchungaji msigwa na rwakatale bado wanafanya kazi ya kanisa?. Kama anafaa apewe nafasi na mnaompinga twambieni wakwenu ni akina nani?

Wewe level yako ni ya Facebook na wasapu hapa unapawaya mijadala ya hapa sii myepesi kama upeo wako unavyokutuma, Msigwa na Lwakatale ni mapadre wa kanisa gani? Au ni wachungaji wa kanisa gani?

Au kwa akili yako ndogo unadhani kila kanisa unaweza tu kuamka asubuhi na kujiita nabii au mtume? Au kujipachika uchungaji na uaskofu?
 
Taifa sasa lipo njia panda linahitaji serious player, viongozi wa kiroho ndio lilikuwa tegemeo la mwisho lakini imejidhihirisha wazi sasa ni heri hata ya waganga wa kienyeji, alianza vituko Cardinary Pengo akaja Gwajima na sasa ni Padre Augustino Ramadhani. Hebu twende pamoja ili tuelewane kwa hoja.

jaij.jpg


Tukiacha yote hayo kwa kanuni za kanisa la high church au Anglo catholic church ambayo yeye Augustino Ramadhani ni padre wa canon law ya 1734 ac number 4559 iliyosainiwa na mkutano mkuu wa lamberth mtu aliyepata daraja takatifu kwa maana shemasi, padre, canon, vicar au Askofu haruhusiwi kuwa mwanachama wa chama cha siasa maana anahudumia watu wote na haruhusiwi kugombea cheo cha mamlaka ya kisiasa ya dunia hii maana yeye mamlaka yatoka juu ambayo inaitwa clerical authority!

Sasa naongea kiutaalam na taaluma ya sheria za kanisa Padre Augustino Ramadhani aliyajuwa haya why alikubali daraja takatifu?!

Jaji ni mtu mzuri sana, mcha Mungu, mnyenyekevu, na mpenda haki! sijui why ameamua kuona katiba inavunjwa na kama katiba si kitu maana inatengenezwa na watu je sheria za kanisa la Mungu zinazomzuia pia hajaziona?!!!!!

Au ndio tuamini sasa andiko lataka kutimia kwamba Mungu akitaka kuungamiza utawalawa huunyima maono?

Karibuni tujadili.

CC: Mzee Mwanakijiji Pasco Mkandara Mchambuzi

Unaweza ukawa na point ila intro yako mbayaa!!Sidhani km Pengo alikiuka kipengele chochote cha katiba,ukilinganisha na Gwajima na jaji Agustino.
 
Matola we level yako ni kujadili dini za wagombea urais. Itusaidie nini sisi ambao hatuna dini? Masuala ya dini ya mtu ni ya binafsi zaidi msilishikie bango kwakuwa mmekosa makandokando ya ufisadi dhidi yake.
 
Last edited by a moderator:
Anglican Kuna ma padri vilevile unaweza kuwaita wachungaji, hakuna tatizo ukipenda ita padri ukipenda ita mchungaji hayo ni majina tu kazi zao ni zilezile.
AR yeye ni mwana CCM aliyejiunga na CCM baada ya Kustaafu ujaji mkuu.
 
Wewe kichwani ni bure kabisa, Anglican ina mapadre kama upo Dar njoo leo Saint Alban ukutane na mapadre.

Tena koma kuniita "kichwani bure"....nilibatizwa na kupokea kipaimara Anglican dayosisi ya central Tanganyika...so najua nachokiongea
 
Bila shaka wewe ndiye hujui ulisemalo.

Huyu ni Askofu wa Kanisa la Anglikana na siyo Padre.

Hakuna nafasi ya Padre katika Kanisa Anglikana, bali kuna Mchungaji na Askofu tu.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Kama hujui si ukae kimya au ni janja tu ya kupotosha mjadala?
 
Back
Top Bottom