Baada ya Hospitali ya Taifa Muhimbili kusema hawatavunja mashine za kujifukiza, Kigwangalla ahoji zaidi...

Hamisi mbona anajifanya Kama ndo amefufuks na yes kwenye pasaka hii?? Alikiwa wapi siku zote?

Alijifanyaga hivi hivi kumuuliza Mo kuhusu Simba na B20.
Anazingua huyu bora maswali yaulizwe na mwingine ila huyu hapana kama angekuwa mzalendo kweli angeonesha misimamo gangu enzi zile kama former CAG
 
Kigwangala wakati unapigia salute ndege pale KIA na kuitangazia dunia kuwa Tanzania ni Covid free zone. Ulifanya study gani na idadi ya wagonjwa waliotibiwa na kupona kila wiki, mwezi, miezi mitatu hata sita iko wapi?
Anachouliza kina manufaa ama hakina? Tunapenda sana vita na mtu badala ya vita na hoja. Ana maujinga mengi ila hii hoja ametumia akili.
 
Ovyo sana uyo jamaa kujifanya anajua kila kitu na mpenda publicity mwendazake alikosea sana kumpa dhamana mfitini huyu kwa level na ranks yake alieyokuwepo ameshindwa kwenda muhimbili kupata majibu ya hayo maswali anauliza ivo ku outsmart wataalam wetu au ni kwa ajili ya kujifunza mtu mpenda sifa kama huyo hata sio wa kumjibu ovyo kabisa
 
Kigwa amekuja ku prove hapa kuwa akitemwa au akikosa kitu fulani anakosa Utulivu na Focus, Kiongozi wa namna hii hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi amevutana na Mo mpaka akawa warned na Mamlaka ya mwendazake, Sasa yeye aendelee kupiga tarumbeta tu hajui mama hana hobby na mavuvuzela
 
NAMUONEA HURUMA MKE WA KIGWANGWALA, WATOTO WA KIGWANGALA, NDUGU ZAKE KIGWANGWALA...NAWATUMIA POLE NYINGI SANA HUKO WALIKO!!.

wanaume wanafki wenye tabia za kike kama hizo..huaibisha wanaume wengi waliopo nchini. Mwanaume unakuwa muoga na mnafki!!, wakati woote alikuwepo kimya..ni bora angefunga mdomo wake hadi 2025 amuache mama afanye kwa utashi wake..... Kigwa hana akili pia nina shaka na familia yake anayoiongoza...asije waambukiza hizo tabia za kimama
 
Aseee arudi akalale maana kashachelewa sanaa sis tupo awam ya sita alikua wap nae huyu
 
Kigwangwala mjinga anauliza hayo maswali kama nani? utafiti watu hujifanyia silently kwenye ripoti ya utafiti ukikamilika ndipo hueleza kila kitu kwa stage ya mwanzo haimhusi mropokaji tu hana lolote

Hata hizo chanjo za Covid walipokuwa wakifanya utafiti hawakwenda vyombo vya habaro kufafanua hiyo iswali yake aliyouliza pia hata baada ya chanjo kupatikana waka hawakwrnda publically kueleza uñimwengu process ilivyoganyika hadi kufikia hiyo conclusion ya chanjo yao

Muhimbili.kuna maprofesa kigwangala ni junior doctor pori tu ana ubavu ea kuhoji prffesors wenye Phd za udaktari ambao kazi zao ni research kuhusu viswali vyake vya kitoto
 
MASWALI YANGU KWA MSEMAJI WA MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL!
———————————
Hamisi Kigwangalla, MD.

Nimefarijika kwamba msemaji wa Muhimbili amejitokeza na kueleza kuwa Kuna utafiti unaoendelea juu ya nyungu pale MNH. Ni kitu kizuri.

Kwa ajili ya uelewa wa pamoja ningependa kujua mambo yafuatayo:

- Utafiti unaofanyika ni wa aina gani? Study design? Ni utafiti wa kutaka kujua kama nyungu ni tiba sahihi ya COVID-19 ama la?

- Kama jibu la swali la kwanza ni ndiyo, basi ni Utafiti wa ‘Clinical Trial’ ama ni nini? Kama ni Clinical Trial atusaidie kutujulisha juu ya:

- Malengo ya utafiti ni nini?

- hypothesis ya utafiti wao ni nini?

- Sample size

- Sampling frame

- Sifa za cases na sifa za controls, na atuambie namna wanavyopatikana na Kama Kuna ‘blinding’ ama la! Na je, ni single blinding and double blinding?

- Atuambie Principal Investigator (PI) wa hiyo study ni nani? Ana sifa (CV) gani?

- Amepata Ethical Clearance kutoka wapi? Na Je, wana kibali cha COSTECH cha kufanya utafiti huo?

- je, hao subjects waliofanyiwa utafiti, wanawafuatiliaje ili kujua matokeo?

- Dawa inayowekwa mule, dozi yake ni kiasi gani? Inapimwaje? Hiyo mitishamba inayowekwa humo ina ‘active ingredient’ gani? Ina side effects gani? Imepitia hatua gani mpaka kuonekana kuwa inaweza kutumiwa na binadamu?

- Utafiti utakamilika lini?
Huyo anaweweseka kwa kukosa uteuzi....
 
Kigangwala akikuomba kitu mpatie la sivyo ataanza kukuchimba haswaa,,,
Moo alimnyima pikipiki alianza kumuandama had muhind wa watu akawa mwekunduu
 
MASWALI YANGU KWA MSEMAJI WA MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL!
———————————
Hamisi Kigwangalla, MD.

Nimefarijika kwamba msemaji wa Muhimbili amejitokeza na kueleza kuwa Kuna utafiti unaoendelea juu ya nyungu pale MNH. Ni kitu kizuri.

Kwa ajili ya uelewa wa pamoja ningependa kujua mambo yafuatayo:

- Utafiti unaofanyika ni wa aina gani? Study design? Ni utafiti wa kutaka kujua kama nyungu ni tiba sahihi ya COVID-19 ama la?

- Kama jibu la swali la kwanza ni ndiyo, basi ni Utafiti wa ‘Clinical Trial’ ama ni nini? Kama ni Clinical Trial atusaidie kutujulisha juu ya:

- Malengo ya utafiti ni nini?

- hypothesis ya utafiti wao ni nini?

- Sample size

- Sampling frame

- Sifa za cases na sifa za controls, na atuambie namna wanavyopatikana na Kama Kuna ‘blinding’ ama la! Na je, ni single blinding and double blinding?

- Atuambie Principal Investigator (PI) wa hiyo study ni nani? Ana sifa (CV) gani?

- Amepata Ethical Clearance kutoka wapi? Na Je, wana kibali cha COSTECH cha kufanya utafiti huo?

- je, hao subjects waliofanyiwa utafiti, wanawafuatiliaje ili kujua matokeo?

- Dawa inayowekwa mule, dozi yake ni kiasi gani? Inapimwaje? Hiyo mitishamba inayowekwa humo ina ‘active ingredient’ gani? Ina side effects gani? Imepitia hatua gani mpaka kuonekana kuwa inaweza kutumiwa na binadamu?

- Utafiti utakamilika lini?

Tukiweka mambi mengine yote pembeni, hoja nu za msingi.
1: Itabidi hata watoe data za pre-clinical trial ziko wapi?
2: Ilifanyika lini?
3: Small number ya human study?
4: Effectiness/efficient ilipimwaje na ilifaulu kwa kiasi gani?
5: Dose development, frequency, toxicity?

Lengo ni kupata kitu kizuri cha kiafrika pia bila kuumizana.
 
Hakika Kingwangallah akili zake zimerudi baada ya kushikiwa na Jiwe kwa kitambo.Naomba na washikiwa akili wengine wajitokeze!
Mbona wanakuja kwa kasi tuu? Subiri kesho maombolezo yapite watu wafunguke zaidi!
malisa_gj-___CNP5YP2LKuM___-.jpg
 
Naona bado uko kwenye hangover ya siasa za kikatili za jiwe za kuzuia ukweli kusemwa, na kutaka watu wote waamini ushirikina.
Hiyo ndio misukule uzao wa jiwe hapa duniani. Yaani yapo kama Mazezeta hata yaambiweje kupata ufahamu ni shida
 
Tukiweka mambi mengine yote pembeni, hoja nu za msingi.
1: Itabidi hata watoe data za pre-clinical trial ziko wapi?
2: Ilifanyika lini?
3: Small number ya human study?
4: Effectiness/efficient ilipimwaje na ilifaulu kwa kiasi gani?
5: Dose development, frequency, toxicity?

Lengo ni kupata kitu kizuri cha kiafrika pia bila kuumizana.
Hata hizi chanjo zinazosambaa ameuliza hayo maswali wamemujibuje atuwekee hapa pia.
Unafiki ni uchawi kwa mtindo mwingine tu, mkweli ni CAG former huyo alikaza kwa ukweli aliouamini , wengine ni kutafuta publicity na wivu wa kukosa teuzi tu.
 
Back
Top Bottom