Baada ya Heche kubeep huko Mara, Lema anaweka vocha Arusha

Baada ya Heche kubeep huko Mara, Lema anaweka vocha Arusha

Na kinaendelea kuwafanya watawala wapate magonjwa ya kiharusi kwa kuiwazia
CHADEMA chama bora cha siasa cha upinzani katika kanda hii ya Afrika Mashariki. Kimeteswa mno kimabavu na serikali iliyopo madarakani lakini bado kutokana na udhubutu mahiri wa uongozi wake,kimeendelea kuwa chama mahiri na imara kila kukicha.

In God we trust
 
Akili azipate wapi wakati magonjwa yamemuandama?
MM hebu niambie ukweli wa moyo wako, unanisikia tofauti gani unapofanya mapenzi na mtu baada ya kumshikia silaha (kumbaka) na yule unayefanya naye kwa ridhaa huku kakukumbatia kwa huba na tabasamu akisema "I love you dear"?
Utakuwa kama una akili timamu umenielewa

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we trust
 
Kweli maana Jiwe aliwaruhusu kipindi kirefu sana kuwa sasa wafanye mikutano ya kisiasa

In God we trust
Waliruhusiwa majimboni toka siku ya kwanza..wao kwa miaka mitatu wakawa wanaitafuta haki ya kuzurula tanzania nzima kukashifu wengine..mentality ya jk imewasumbua kwa miaka mitatu..now wameanza ku recover.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawadanganye mandunya lkn siyo anaye jitambua kama mimi
Waliruhusiwa majimboni toka siku ya kwanza..wao kwa miaka mitatu wakawa wanaitafuta haki ya kuzurula tanzania nzima kukashifu wengine..mentality ya jk imewasumbua kwa miaka mitatu..now wameanza ku recover.

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we trust
 
Hiyo ni kweli lkn safari hii uchaguzi utakuwa tofauti sana maana kazi anayoifanya mh Lissu huko ulaya inaenda vizuri sana msishangae tukafanya uchaguzi chini ya usimamizi wa UN

In God we trust
You need help my brother. Duh!
In God we trust.
 
Nilitegemea jibu kama hili siyo kwako tu hata kwa babako jiwe

In God we trust
Huwa U.N. hawasimamii uchaguzi popote, wao wanaangalia tu. Unachosubiri wewe ni dafu chini ya mchungwa. Piganieni tume shirikishi.
In God we trust.
 
Tatizo hujui kiswahili ndiyo maana lake unaita rake
Huwa U.N. hawasimamii uchaguzi popote, wao wanaangalia tu. Unachosubiri wewe ni dafu chini ya mchungwa. Piganieni tume shirikishi.
In God we trust.

In God we trust
 
Tatizo hujui kiswahili ndiyo maana lake unaita rake

In God we trust
Sawa, lake sijui rake unajua ulikoyatoa.
Matarajio yenu mengi yanabebwa na mihemko au kutoelewa.
Mfano ni pale watu walipolishana mbilimbi pori kuwa, kuna barua inatoka ICJ inakuja kuzuia Rais kuapishwa Nov 5, 2015.
Ndio haya ya UN unayoyarudia.

In God we trust.
 
Vipi hukumu umeisikia ya kuitaka serikali yenu kuilipa konoike sh 110 billion?
Sawa, lake sijui rake unajua ulikoyatoa.
Matarajio yenu mengi yanabebwa na mihemko au kutoelewa.
Mfano ni pale watu walipolishana mbilimbi pori kuwa, kuna barua inatoka ICJ inakuja kuzuia Rais kuapishwa Nov 5, 2015.
Ndio haya ya UN unayoyarudia.

In God we trust.

In God we trust
 
Kadri watu wanavyohitimu vyuo na kukosa ajira,kadri watu wanavyozaliana vijijini na kukosa mahali pa kulisha mifugo na mahali pa kulima, kadri machinga wanaposhindwa kutambua mfumo wa kulipa kodi/tozo huku wakishindwa kutambua sio kila sehemu ni ya kutandika biashara [Serikali inapotoa tamko watoke] wanagoma, ikitumia polisi ndivyo wanalia wameonewa kwa kuwa hawana pa kupata japo mkate..hapo ndipo CCM inapokaribia pale KANU ilipofika..ifike mahali hiki chama kianze kutumia mbinu mpya za kisomi zaidi katika kufanya Maendeleo
 
Back
Top Bottom