Baada ya Heche kubeep huko Mara, Lema anaweka vocha Arusha

Baada ya Heche kubeep huko Mara, Lema anaweka vocha Arusha

Nadhani Kuminywa kwa mikutano ya hadhara ni jambo jema kwa wapinzani.
Watu wamewamiss sana.

Leo hii ni nani akisikia Zito Kabwe yupo seheme Fulani ataacha kwenda.
Au Heche,au Sugu , Au Juma Mwalim, au Mnyika , au Mdee,
Au Baba la baba Tundu Antipas Lisu.

CCM wameshazungumza sana na wamezoeleka ! Watu wanapenda mikutano ya mwenyekiti kwa ajili ya kuona watu wa kitumbuliwa na kugaiwa hela na matunda na sio vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CHADEMA chama bora cha siasa cha upinzani katika kanda hii ya Afrika Mashariki. Kimeteswa mno kimabavu na serikali iliyopo madarakani lakini bado kutokana na udhubutu mahiri wa uongozi wake,kimeendelea kuwa chama mahiri na imara kila kukicha.
 
Mungu ibariki Chadema
Sitanii.

Ni mawili.
1. 'Umati huu' ugeuzwe kuwa kura zinazohesabika. Uzoefu unaonyesha chaguzi zinapofanyika, nyomi hizi hazionekani zilikopotelea.
Pigeni vichwa vyenu kujua njia sahihi za kuziweka kibindoni kura hizi.

2. "Kujenga Tufani". Ikifika siku ya siku, na nyomi hizi zikaamua kuwa wizi wa kishenzi hawawezi kuuvumilia, hao polisi na MaDED na takataka zote zitang'olewa na TUFANI.

Kuna la tatu - Yote mawili yatokee kwa mara moja. Hilo litakuwa BALAAAA!

Haya yanawezekana; lakini yanatakiwa kufanyiwa kazi na kuandaliwa kwa mikakati mizuri.

Acha hizo 'Erythrocyte' - Mungu ibariki Tanzania. Ikiwemo na CHADEMA.
 
Jimbo la mtandaoni mtapata kura nyingi sana lakini hazitasaidia.
MM hebu niambie ukweli wa moyo wako, unanisikia tofauti gani unapofanya mapenzi na mtu baada ya kumshikia silaha (kumbaka) na yule unayefanya naye kwa ridhaa huku kakukumbatia kwa huba na tabasamu akisema "I love you dear"?
Utakuwa kama una akili timamu umenielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza ukawaminya watu kwa namna yoyote upendayo, unaweza ukawaziba midomo kwa namna upendavyo lakini ni vigumu kuwadhibiti kuonyesha hisia zao.

Huko Mara tumeona wananchi wakisisimkwa kwa hoja zisizo na kujipendekeza kutoka kwa HECHE.

Baada ya muda naambiwa Lema atalipuka Arusha kwa kuweka vocha then atamvoice call Mbowe ambaye atapiga kwa Watanzania akitokea hai.

Wakati huo huko Morogoro na Mbeya wataendelea kutuma text kwa wananchi hii ikiwa ni ratiba fupi ya kupima Kama chama kinakubalika au kimepoteza mvuto.

Itafahamika TU....

Sent using Jamii Forums mobile app

Ulichokiandika hapa unaona kwa wenye Akili ( Upeo ) wamekuelewa au labda umeeleweka zaidi na Wapuuzi ( Mbayuwayu ) wenzio tu?
 
Nadhani Kuminywa kwa mikutano ya hadhara ni jambo jema kwa wapinzani.
Watu wamewamiss sana.

Leo hii ni nani akisikia Zito Kabwe yupo seheme Fulani ataacha kwenda.
Au Heche,au Sugu , Au Juma Mwalim, au Mnyika , au Mdee,
Au Baba la baba Tundu Antipas Lisu.

CCM wameshazungumza sana na wamezoeleka ! Watu wanapenda mikutano ya mwenyekiti kwa ajili ya kuona watu wa kitumbuliwa na kugaiwa hela na matunda na sio vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo jambo jema 2019 ambapo 2020 mshike mshike?

Chama bila ya kuwa na mikakati dhabiti ngumu kupata ushawishi. CDM nia yao kupata wabunge ili ruzuku iongezeke wagawane tu hawana vision ya mbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunahitaji viongozi waongoza mwendo kama hao ili Jiwe akae na mtabibu karibu maana pressure lazima ipande
Unaweza ukawaminya watu kwa namna yoyote upendayo, unaweza ukawaziba midomo kwa namna upendavyo lakini ni vigumu kuwadhibiti kuonyesha hisia zao.

Huko Mara tumeona wananchi wakisisimkwa kwa hoja zisizo na kujipendekeza kutoka kwa HECHE.

Baada ya muda naambiwa Lema atalipuka Arusha kwa kuweka vocha then atamvoice call Mbowe ambaye atapiga kwa Watanzania akitokea hai.

Wakati huo huko Morogoro na Mbeya wataendelea kutuma text kwa wananchi hii ikiwa ni ratiba fupi ya kupima Kama chama kinakubalika au kimepoteza mvuto.

Itafahamika TU....

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we trust
 
Hiyo ni kweli lkn safari hii uchaguzi utakuwa tofauti sana maana kazi anayoifanya mh Lissu huko ulaya inaenda vizuri sana msishangae tukafanya uchaguzi chini ya usimamizi wa UN
Bila tume huru za uchaguzi, upinzani hawana chao! Mi sisiem wakurugenz wengi ni sisiem! Mfano, ded butiama, maswa etc

In God we trust
 
Waitara huyo msamehe maana ukiangalia hata kichwa chake unapata jibu
Kushinda uchaguzi ni hoja lakini kwa upande mwingine kushinda nyoyo za watu ni Jambo muhimu zaidi.....majimbo wanayoongoza CCM hadi sasa wamefanya nini?

Wanajilimbikizia majimbo kwa NGUVU nyingi kwa kuepuka kuleta MAENDELEO.

Angalia jiji la mwanza lilivyopoa kila kitu kinakufa kwa sababu waliopo wameridhika.

Tizama Kinondoni na majimbo mengine waliyoyaatamia hakuna walichofanya...Waitara kaondoka kwa waliompa kura anaangaika na majimbo mengine yaliyopo kwa wapinzani

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we trust
 
Back
Top Bottom