imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,039
Hichi kikundi kama ilivyokuwa Alshabaab kina baraka zote kutoka kwa Raisi wa Somalia na lengo ni kutangaza jihad dhidi ya wapenda amani wa Kenya.
Ushauri wangu kwa Shujaa Uhuru Mwigai Kenyatta hio Serikali ya wahuni wa Mogadishu ni lazima iondoke kwa udi na Uvumba.
Sisi wana Afrika Mashariki tuko bega kwa bega.
Ushauri wangu kwa Shujaa Uhuru Mwigai Kenyatta hio Serikali ya wahuni wa Mogadishu ni lazima iondoke kwa udi na Uvumba.
Sisi wana Afrika Mashariki tuko bega kwa bega.