Mkuuu nimecheka balaaaWanaokuja kuchungulia chupi za mademu wanaokaa vibaya tupo
Mkuuu nimecheka balaaaWanaokuja kuchungulia chupi za mademu wanaokaa vibaya tupo
huo sasa uchochezi mkuuKama yule waziri
Namba 7 umelenga aiseeeMoja ya vituko nimeviona sana baa ni;
1.wanaokuja kutafuta meza yao peke yao
2.wanaokuja na mademu kutafuta meza zilizojificha gizani
3.waliokaa meza moja alafu hawaongei (wote wapo busy na smartphone wanachati)
4.wanaokunywa soda na Konyagi
5.Wanaoenda toilet mara kwa mara
6.Baamedi anayejifanya anajua kucheza mziki kuliko wengine
7.Waliokuja baa kwa ajili ya kiangalia mpira (mara nyingi wanakunywa maji)
Na wewe Ongezea.....
Wanao enda Baar kuonesha Magari yeye hawez shuka mbaka aone watu wanaangalia gari ndio anafungua mlango na kushuka, na akifika mezani ufunguo huweka juu Ya meza ili watu waone kuwa ana gariMoja ya vituko nimeviona sana baa ni;
1.wanaokuja kutafuta meza yao peke yao
2.wanaokuja na mademu kutafuta meza zilizojificha gizani
3.waliokaa meza moja alafu hawaongei (wote wapo busy na smartphone wanachati)
4.wanaokunywa soda na Konyagi
5.Wanaoenda toilet mara kwa mara
6.Baamedi anayejifanya anajua kucheza mziki kuliko wengine
7.Waliokuja baa kwa ajili ya kiangalia mpira (mara nyingi wanakunywa maji)
Na wewe Ongezea.....
Au ufunguo anauzungusha zungusha kwenye kidole ili watu waoneWanao enda Baar kuonesha Magari yeye hawez shuka mbaka aone watu wanaangalia gari ndio anafungua mlango na kushuka, na akifika mezani ufunguo huweka juu Ya meza ili watu waone kuwa ana gari
Moja ya vituko nimeviona sana baa ni;
1.wanaokuja kutafuta meza yao peke yao
2.wanaokuja na mademu kutafuta meza zilizojificha gizani
3.waliokaa meza moja alafu hawaongei (wote wapo busy na smartphone wanachati)
4.wanaokunywa soda na Konyagi
5.Wanaoenda toilet mara kwa mara
6.Baamedi anayejifanya anajua kucheza mziki kuliko wengine
7.Waliokuja baa kwa ajili ya kiangalia mpira (mara nyingi wanakunywa maji)
Na wewe Ongezea.....
Huyu atakua wa la moly!!!Oyoo tunasubir saa sita wanapofunga, hapa mmoja ashanipanga ikifika kufunga tunaondoka tunaenda kukesha La Chaz kitakachofuata mi sijui