MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,207
- 2,387
Kha!Kwa sababu umenibania cha asubuhi.
Kha!Kwa sababu umenibania cha asubuhi.
Unakataa nini? Nakwambia he was servicing out tea factory machines!Wewe wacha uongo.
"My family has never been to university or college or anything like that — nobody in my family history has done that."
Source: My Story: From Tanzania To The Olympics & Stanford GSB - Page 3 of 4
Nakwambia huyo namfahamu fika. Hayo ni uongo. ferdinandes amesoma USA. baba yake alikuwa anaservice machine zetu za chaiWacha uongo, soma hii "My family has never been to university or college or anything like that — nobody in my family history has done that."
Source: My Story: From Tanzania To The Olympics & Stanford GSB - Page 3 of 4
Ndogo kwa kufanya kazi USA maana hakunaga kukwepa kodi huko. Hapa wazungu wanalipwa kuanzia dola 25000 mpaka 70000. Hizo kwa huko hakuna kitu.Hiyo ni zaidi ya us 17,000 kwa mwezi alafu unasema pesa ndogo hiyo ? Mkuu vipi wewe uko sawa kweli ?
Watu hawajui historia hizi. Baba yake alisoma Marekani kwa makusudi ya kuja kuanzisha kanisa. Mission ni hiyo hiyo! Hawezi kubaki huko. Babu yake alikuwa fundi mitambo ya viwanda vya chai, tumefanya nae kazi, namjua fika!
Nakwambia huyo namfahamu fika. Hayo ni uongo. ferdinandes amesoma USA. baba yake alikuwa anaservice machine zetu za chai
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Tunamkalibisha aje awe chini ya kilaza bashite
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
= tunamkaribisha
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?