Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 6,058
- 9,259
Bora hakuwepo mechi ya juzi wangetupiga kono la nyani.....ahoua mapenati Naye aliingia kwenye mfumo wa mapenati huku ametoa ulimi nje kama mbwaMbape alijiunga na Real Madrid moja kwa moja akapata namba
Mkewe anajua haya 🤔Aziz Ki mfumo umemkataa kabisa pale Wydad Casablanca, hapewi nafasi kabisa kuna uwezekano mkubwa akaondoka na kurudi Yanga kama watakuwa wamejipanga kumrudisha
Wydad hawathamini kabisa uwezo wa Aziz Ki, amekua akianzia benchi zaidi na kupewa dakika chache mno kama mchezaji wa kawaida kabisa, hii ni dharau kubwa sana na kwa alipokuwa amefikia Aziz Ki ni kumpoteza kwenye ramani ya soka
Kwenye michezo ya klabu bingwa dunia katika mechi 3 za Wydad amecheza dakika 11 tu, 7 dhidi ya Manchester City na 4 dhidi ya Juventus huku mechi dhidi ya Al Ain akiachwa kabisa
Hii imekua ni tabia ya kawaida timu za Uarabuni Afrika Kaskazini kuwachukua wachezaji wazuri na kuwamalizia benchi, hata Mayele pale Pyramids ilibaki kidogo akimbie maana walikua wanamueka benchi wanampa dakika nyingi mzawa ambaye hakuwa na uwezo wa Mayele
Inasikitisha sana aisee 😭
Simba hamna timu,wale ni wafanyakazi kwenye viwanda vya MoroBora hakuwepo mechi ya juzi wangetupiga kono la nyani.....ahoua mapenati Naye aliingia kwenye mfumo wa mapenati huku ametoa ulimi nje kama mbwa
Shindiiii tulikubaliana usivutie chooni.Ndio nani huko daslamu
Sidhani kama ni mfumo ndio umemkataa bali yule ndo Aziz tunayemjua tuliyeanza kumfuatilia tangu atue Uto! Huwa anachelewa sana ku-gain momentum, na hata Uto ilikuwa hivi hivi hadi wakaanza kumkataa!!Aziz Ki mfumo umemkataa kabisa pale Wydad Casablanca, hapewi nafasi kabisa kuna uwezekano mkubwa akaondoka na kurudi Yanga kama watakuwa wamejipanga kumrudisha
Lazima itachukua muda kuingia kwenye mfumoAziz Ki mfumo umemkataa kabisa pale Wydad Casablanca, hapewi nafasi kabisa kuna uwezekano mkubwa akaondoka na kurudi Yanga kama watakuwa wamejipanga kumrudisha
Wydad hawathamini kabisa uwezo wa Aziz Ki, amekua akianzia benchi zaidi na kupewa dakika chache mno kama mchezaji wa kawaida kabisa, hii ni dharau kubwa sana na kwa alipokuwa amefikia Aziz Ki ni kumpoteza kwenye ramani ya soka
Kwenye michezo ya klabu bingwa dunia katika mechi 3 za Wydad amecheza dakika 11 tu, 7 dhidi ya Manchester City na 4 dhidi ya Juventus huku mechi dhidi ya Al Ain akiachwa kabisa
Hii imekua ni tabia ya kawaida timu za Uarabuni Afrika Kaskazini kuwachukua wachezaji wazuri na kuwamalizia benchi, hata Mayele pale Pyramids ilibaki kidogo akimbie maana walikua wanamueka benchi wanampa dakika nyingi mzawa ambaye hakuwa na uwezo wa Mayele
Inasikitisha sana aisee 😭
Mwenetu wee miyeyusho ujueNdio nani huko daslamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Azoee nini? Kwani dereva bodaboda yule?