Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,971
- 32,270
Cha kukukamia mtoto wa watu kisa nin?Mwenza bora aseme tu hicho anachokitaka nijue moja!!!
Kwan sh ngap!!!
Kuilia Idd jela ya Ban ina huuuu!!!!
Waseme tuwape....
Cha kukukamia mtoto wa watu kisa nin?Mwenza bora aseme tu hicho anachokitaka nijue moja!!!
Kidudu hiko vepee....kinakudai?Kidudu mtu kimeniandama!!
Ha haaa mwenzio hajachepuka hapo!Hiv tafsir ya kuchepuka ni ipi?
sitakiBasi tuachane upate kupumua.
Kidudu hiko vepee....kinakudai?
Au mnashea hisa za Makinikia?
Sasa unatakaje baba!!!sitaki
Ntawaandaa kisaikolojia,,, kila kitu katika hii dunia kinaandaliwa. kama unahitaji sanaa ya kuwafanya wapendane ni somo lingine. Wazazi wengine wanakosea wanapoonesha mapenzi zaidi kwa baadhi ya watoto... ukiwa nao sawa watapendana tuUnauhakika wa kuwatunza hao watoto mkuu?
Utaandaa kizazi cha chuki maana watoto tulioshare baba huwaga hatupendani
Itakucost siku za usoni
uzidishe ndumba tu mamaSasa unatakaje baba!!!
Ndumba tena!!! Mie sijakuroga bwana.uzidishe ndumba tu mama
Afadhali, maana kuna mahali ninakwenda sikukuu hii.sikukuu hii tupo wote mama watoto
Tafuta mwaya..wanaume wenyewe hawa kama umeme wa luku, ukiisha unawasha taa ya kuchaji.Korofisha mwenza, nami nimeanza kutafuta pa kujiegemeza.
Nakuangalia tu...ole nijikute niko alone, naenda kukutupa Kibitisikukuu hii tupo wote mama watoto
Afadhali, maana kuna mahali ninakwenda sikukuu hii.
nimebadili mawazoNakuangalia tu...ole nijikute niko alone, naenda kukutupa Kibiti
mbona kwako sijiwezi hivyo ??Ndumba tena!!! Mie sijakuroga bwana.
ushauri wako utapelekea idd hii ule makofi tuTafuta mwaya..wanaume wenyewe hawa kama umeme wa luku, ukiisha unawasha taa ya kuchaji.