Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 10,656
- 21,081
Nasikia unapakatwaHabari za nasikia nasikia ndio zinaishia kwa mwanaume kusutwa.
Nasikia unapakatwaHabari za nasikia nasikia ndio zinaishia kwa mwanaume kusutwa.
Oooh kumbe!!Bas kumbe mie sjawah kuchepuka aisee maana wanajuaga kabisa
Duu hivi maana ya kuchepuka ni nini tena?.........Pia wamenifanya sichepuki siku hizi....
Hahahahaa haki wee baba Mungu anakuona kama ni kweliNilishawahi kuandika kuwa pindi uchumi wangu ukiimarika ntaongeza idadi ya wanawake... Kwa uchumi wa kawaida tu nimeshakuwa na wake watatu, warembo sana akiwemo mke wangu wa ndoa. Maana mie ni mkristo, nimefunga ndoa na mmoja tu.
Nimegundua kumbe wanawake hawahitaji pesa ila uhakika wa mwanaume wa kuishi nae. Bahati nzuri wangu wote ni wafanyakazi wa serikali. Nahitaji niongeze wengine wazuri wawili, lengo ni kuwa na watoto wengi sana na pia kupunguza idadi ya wanawake wasio na wanaume wa kuoa.
Mke wangu wa ndoa ana watoto 2... huyu mpya ana mimba ya miezi 3... mmoja nae anasema hajaona siku mwezi huu, nadhani mambo sio mabaya. Maana wasichana warembo ni wengi sana mtaani.
Pia wamenifanya sichepuki siku hizi, nina zaidi ya mwaka na sitamani ovyo.... nimechagua wazuri. Tusaidiane kuwa na wake zaidi ya mmoja jamani, uwezo tunao
Kufanya mapenzi pasipo na uhusiano. Yaani show za mara moja moja bila malengoDuu hivi maana ya kuchepuka ni nini tena?
dah Mungu atufanyie uwepesi, mmoja kweli shida macho yana kutoka toka mtu, ila wako wawili watatu roho inatulia hata wanne
Mbavu zangu mieBas kumbe mie sjawah kuchepuka aisee maana wanajuaga kabisa
Ohooooo!!!!Habari za nasikia nasikia ndio zinaishia kwa mwanaume kusutwa.
hicho kichululu chako ulichanjia ama?Wa ndoa hawajui wenza... wenza wanajuana na wanamjua mke wangu
Ohoooo!!!Juzi si makamanda walileta uzi hapa kwamba mambo yashakuwa shwari.Inasikitisha, eti huko Kibiti wameua askari wawili
Ohoooo!!!Ban tena umetinyanga nini?
Maisha ni jinsi mwenyewe unayaweka. Kama hauishi kwa kukariri slogani za wahenga "life is so beautiful"Hayawezi kuwa maisha ya namna hii
hamna kitu kama hicho ni lugha ya wanaume wa dar wenye upungufu wa nguvu za kiumeHiv tafsir ya kuchepuka ni ipi?
Ahaa kumbe asante kwa ufafanuzhamna kitu kama hicho ni lugha ya wanaume wa dar wenye upungufu wa nguvu za kiume