Azania Sec. School Best Student (Mathematics) Award

Azania Sec. School Best Student (Mathematics) Award

Keen

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2007
Posts
617
Reaction score
172
Heshima kwenu GTs,
Mimi ni mmojawapo wa alumni wa Azania Secondary. Katika kuhamasisha wanafunzi kupenda kusoma hasa somo la hesabu, napendekeza wanafunzi wote tuliosoma Azania (PCM) tuanzishe award tutakayokuwa tunaitoa kwa BEST student (at least B score) katika mtihani wa form six (National) kila mwaka kwa miaka mitano then tutafanya tathmini kuona impact ya hiyo award. Zawadi inaweza kuwa cash au material thing(s). Namna ya kupata pesa ni kipitia monthly contributions.

Nawasilisha.
 
Good idea lkn katika swala la michango kwa kila mwz it will be long process ushauri wangu km inawezekana kushilikisha uongozi wa azania sec school then wadau waitwe iwe km fund rising hapo malengo yanaweza kutimia
 
Good idea lkn katika swala la michango kwa kila mwz it will be long process ushauri wangu km inawezekana kushilikisha uongozi wa azania sec school then wadau waitwe iwe km fund rising hapo malengo yanaweza kutimia

Wazo zuri kapistrano
 
Last edited by a moderator:
MMH SASA MUANZISHE AWARD HIZO NUIE WENYEWE MLIINGIA NA DIVISHENI THREE DAH HAYO MAMBO YAFANYE KIBAHA sec na SIO AZANIA
 
Heshima kwenu GTs,
Mimi ni mmojawapo wa alumni wa Azania Secondary. Katika kuhamasisha wanafunzi kupenda kusoma hasa somo la hesabu, napendekeza wanafunzi wote tuliosoma Azania (PCM) tuanzishe award tutakayokuwa tunaitoa kwa BEST student (at least B score) katika mtihani wa form six (National) kila mwaka kwa miaka mitano then tutafanya tathmini kuona impact ya hiyo award. Zawadi inaweza kuwa cash au material thing(s). Namna ya kupata pesa ni kipitia monthly contributions.

Nawasilisha.


Njaa haijakushika wewe. Ungekuwa nayo usingekumbuka hilo unalosema.
 
mkuu keen kwanza samahani kwa kejeli ,naomba basi nielekeze vizuri hiyo thread sijaielewa

Pole kwa kutoelewa. Kwa kifupi ni kuwa, wanafunzi waliosoma azania sec. miaka ya nyuma wanaanzisha zawadi yao ya kumpa mwanafunzi anayekuwa na highest score kuliko wengine wote katika somo la hesabu. Zawadi hii itatolewa kwa mwanafunzi wa shule ya azania tu na kwa atakayekuwa amepata angalau B form six.
 
Dah, Aza- BoooooooooY,..!!!! Unanikumbusha enzi za kina Mwl. Maganga ( yaani weewe advance mziima unakuja shule bila tai then huchomekei), mnamkumbuka Mr. Lutwaza...??? Anyway turudi ktk mada husika, mara zote Azaboy ndo' tunaanzisha safari,. Tuweke mikakati, tatizo uchakachuzi..!!!
 
Lindugani alinitoa sana O-Level.
1996 - 1999
 
Jamaa alikuwa mzuri,mitihani yake ya SEBAMASE ilitutoa wengi!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Sana aisee, enzi hizo Tshs 200/= kila jumamosi mambo yanakua poa. Yaani ilikua ukisikia Azania ujue ni Azania kweli.
Sio sasa watoto wanagonga Div Zero nyingi kuliko hata total of Div 1-4
 
Sana aisee, enzi hizo Tshs 200/= kila jumamosi mambo yanakua poa. Yaani ilikua ukisikia Azania ujue ni Azania kweli.
Sio sasa watoto wanagonga Div Zero nyingi kuliko hata total of Div 1-4
Aza boy shamba la ONE!
 
Aza boy shamba la ONE!
Mzee umefukua uzi wa 2013 ha ha ha . "In the having of peace Azania stand at ease, to waken, strengthen, feeds our hungry minds " .....You are known far and wide.....we will never forget you" ....lilikuwa bonge la school anthem.
 
Mzee umefukua uzi wa 2013 ha ha ha . "In the having of peace Azania stand at ease, to waken, strengthen, feeds our hungry minds " .....You are known far and wide.....we will never forget you" ....lilikuwa bonge la school anthem.
Ha hahaaaaaaaa!!! Azania of today Azania yesterday, Azania forever we will always say, you are known far and wide.....
 
Back
Top Bottom