Azam wameleta king'amuzi cha antena

Azam wameleta king'amuzi cha antena

Sam 2023

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2017
Posts
1,829
Reaction score
1,978
Habari ya wakati huu!

Nimeona tangazo la dekoda ya antena ya azam kwa bei ya 99,000/= tu.

Muonekano wa picha ni HD.

Bei za vifurushi zimegawanyika kwenye makundi tofauti 8,000/=, 13,000/=, 23,000/= 28,000/=.
Natumaini ujio wa azam utaleta changamoto ya kibiashara kwa washindani wake.

Ushauri wangu kwa startimes na makampuni yenye ving'amuzi vya antena wawe serious na kazi, vinginevyo azam anakuja kuwamaliza kabisa.
 
Kuendesha satellite frequency ni gharama sana kwa sasa ni bora kutumia frequency locally zilizokuwa zinatumiwa na tv analog ili kupunguza scramble za wave frequency zifanye mambo mengine kwenye mawasiliano
 
Vipi utendaji wa vingamuzi hivi vya antena kwa DAR ES SALAAM
 
Kuendesha satellite frequency ni gharama sana kwa sasa ni bora kutumia frequency locally zilizokuwa zinatumiwa na tv analog ili kupunguza scramble za wave frequency zifanye mambo mengine kwenye mawasiliano
Hapa ni kama umenitia kwenye dumu umenizungusha jijini umekwenda kunitelekeza kwa mtogole
 
Back
Top Bottom