Mmmmm!! Hapana mbona hapo kiwandani (mwandege) wilaya ya mkuranga kwenye kiwanda chake watu wanashusha sana ukwaju toka shinyanga, tabora,? Na mimi nimeshuhudia kwa macho yangu?
Kuna kijana huwa anakwea minazi huku kwetu ana kikapu kimeandikwa Azam itakuwa ni wakala wao.
Azam kwa sasa wananunua ukwaju wote unaopatikana nchini
Ukwaju unapatikana kwa wingi maeneo ya kati ya nchi kama singida
Nilikuwa likizo mkuu. Haya mambo ukikomalia muda wote utashangaa hata unakosa kiwanja hapa mjini.
Hata mimi nadhani umefanya vizuri kuwa mdadisi. Wachangiaji wengine wanasema kiujumla kuwa ukwaju unapatikana kanda ya kati bila kuelezea mashamba wakulima wake wako wapi na ununuzi hufanyikaje. Baadhi ya vinywaji huwa vinatengenezwa kwa kutumia vionjo vinavyofanana na matunda bila kutumia matunda halisi.
Pia hizo ladha za ukwaju zipo sokoni hata huku bongo.
Itakuwa wafanyakazi wa bakhressa wanaiba hizo concentrate wanazidillute na kuziuza sokoni na wale wanazipacj wanatuuzia.
Maana hakukuwaga na ladha ya ukwaju before imeanza juzi tu hapa baada ya bakhressa kuingiza sokoni ukwaju ice cream
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmeanza fitina Za bishara,Katika vinywaji mnaona ukwaju tu,
Mbona Mo Ana juice ya ukwaju hamuulizi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimchunguza bata hautamla.Naomba kufahamu Azam ukwaju wanaotumia kutengenezea juice ya ukwaju (ukwaju halisi)wanapata wapi?hili zao inalimwa wapi kwa uwingi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaani kuna watu wanauza ice baridi za ukwaju,sasa zile ndo hazina fleva kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli wananunua Dodoma na Singida
Mara ya mwisho nilipokua huko nilisikia wagogo wakifurahia ananunua tani moja(kg 1000) kwa 1milion
Wanakusanya kwa wingi katika walimaji wadogo wadogo ambao unakusanywa kipindi cha mavunoNaomba kufahamu Azam ukwaju wanaotumia kutengenezea juice ya ukwaju (ukwaju halisi)wanapata wapi?hili zao inalimwa wapi kwa uwingi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Google nini maana ya Tamarind Pulp,maana hiyo ndio main ingredientView attachment 1304037
Huo huwa ni ukwaju kabisaaaa wanaweka na sukari.
Tamu sana aisee asikirimu za ukwaju za kitaa
Sent using Jamii Forums mobile app