Nahisi wanaingiza uji uji wa ukwaju( tamarind concentrate) kutoka china wanatengeneza juisi. Viwanda vingi vinavyotengeneza juisi wanafanya hivyo, ni rahisi kuliko kutafuta tunda hapa na kulikamua.
Nimeelewa ndiyo maana nikasema ni swali zuri! Nimeuliza chupa imeandikwa nini ili nijue kwani sijawahi kunywa hicho kinywaji, na wakati mwingine wanaweza kutumia flavours zinazofanana na kionjo cha tunda fulani kwenye kutengeneza kinywaji!