G Gratius d4m9 Member Joined Mar 16, 2013 Posts 62 Reaction score 24 Jan 31, 2017 #1 Nimeona kwenye ratiba yao kuna kipindi maalum cha ajira mpya saa Tano na nusu, sasa sijui ni zipi hizo
Nimeona kwenye ratiba yao kuna kipindi maalum cha ajira mpya saa Tano na nusu, sasa sijui ni zipi hizo
ChamaDola JF-Expert Member Joined Dec 23, 2016 Posts 3,431 Reaction score 2,804 Jan 31, 2017 #2 Leta updates,mbona muda umefika tayari!
MKWEPA KODI JF-Expert Member Joined Nov 28, 2015 Posts 28,700 Reaction score 71,114 Jan 31, 2017 #3 Msitegemee ajira za Serikali muwe wajasiriamali mbona hata kigwangala amesema
aqeelah JF-Expert Member Joined Apr 22, 2014 Posts 360 Reaction score 242 Jan 31, 2017 #4 MKWEPA KODI said: Msitegemee ajira za Serikali muwe wajasiriamali mbona hata kigwangala amesema Click to expand... Kwani na yeye kajiajiri?
MKWEPA KODI said: Msitegemee ajira za Serikali muwe wajasiriamali mbona hata kigwangala amesema Click to expand... Kwani na yeye kajiajiri?