mnawaonea tu tcra. Wao wamewapa kampuni 3 tu haki ya kurusha channel za bongo mojawapo ni startimes na wenzake ambao wote wanatumia antena. Hawa wanaotumia madish mfano zuku,azam hawa hawapo kwenye huu mpango na ndo maana wanapatika mikoa yote{setellite} Hawa wengine ni lazima mkubaliane wenyewe kwa wenyewe mfano azam akubaliane na itv. Mfano mzuri ni dstv na wenyewe wanazo channel 3. Ingekuwa ni ruksa dstv wasingekubali kukosa itv nk. Huu ndo mtazamo wangu