Azam TV wekeni mizania sawa imani ya dini

Azam TV wekeni mizania sawa imani ya dini

Sawa mkuu, kama Kwaresma ni kwa Wakatoliki tu walivogundua ndo nimewaomba waweke mizania sawa kwa wasio na imani ya Kiislam kwenye chaneli ambazo si za kidini.
Mimi nadhani kwenye swala la kiimani ,tumuache azam na imani yake coz yeye mwenyewe anajua kama anafanya biashara na watu wa imani tofauti tofauti.
Na kitu kingine tukumbuke kuwa matangazo mara nyingi huwa yanalipiwa, labda kwa imani yake ameamua kuyalipia kwa njia hiyo.
 
Kupitia jf nmegungua kuwa wakristo weng wana chuki na uislamu,humu kila cku znaletw thread za kuponda na kuwakashifu waislamu ila sijaon thread inayowakashifu wao,nakubalian na coment ya mdau hapo juu kuwa dini zinadumaza akili,,
Kila mtu ashinde mechi zake
Wapi kawalalanikia waislamu??
 
Acha wafanye wnavyoona sawa, mbona kwenye vyombo vya umma wanapiga kwaya tu na hakuna Waislamu wanaolalamika. Mbona vyombo vingi vya habari wanapiga gospel hata vipindi visivyokuwa vya dini na hakuna anayelalamika?
Hayo mambo madogo we chagua channel inayokufaa tazama.
Kwanini sisi Wakristo tunakuwa rahisi kunotice vitu vidogo vya dini nyingine.
Ndio nashangaa wakati waislamu washazoea kuona vitu mbalimbali vya kikristo kwenye media binafsi na za serikali Toka zamani na bila kulalamika coz hatukua na media yoyote Ile.
 
Nchi hii ina waamini wengi Wakristu na Waislam.
Nimekuja gundua Azam Tv wanashindwa kuweka mizania sawa kwa watazamaji wake wa imani hizo mbili.
Pana chaneli mliyoipachika jina la ZBC 2, hii inatosha lakini huku kwengine muwe sawa kwa watazamaji wenu.
Mtoa mada bakhresa ni Muislam

Na ile ni biashara yake, anaweza kuiendeshwa vyovyote atakavyo, ukiona anakukera jaribu kucheki chanel nyingine ya Agape Tv pengine utaona unachokitaka

Na by the way bakhresa sio serikali kwamba haina dini..... Yeye ni miongoni mwa wafia dini walioamua kuupush uislam to the HIT..... So let him enjoy to do what he want si lazima asiyetaka kuendelea kuiangalia azam
 
Hao AZAM TV dawa yao wakisha maliza mkataba wa kuonesha mpira wa ligi kuu ya hapa nyumbani TFF isiwauzie tena haki za matangazo mala 1000 wa wauzie DSTV kuliko hawa azam wana udini mwingi sana iyo haipingiki hata kama waislamu wana watetea na kama mpira wa hapa bongo utanza kuoneshwa kwenye dstv hao azam lazima wata funga ofisi tu
Mkataba wao unaisha lini na ndiyo kwanza wanazidi kuwekeza kwenye ligi kuu Tanzanai bara, TFF hana akili mgando kama zako mwenzako anaangalia maslahi yake kibiashara. Halafu Azam ni kampuni binafsi kwanini mumpangie cha kufanya? Mbona vyombo vya habari binafsi vinavyomilikiwa na wakristo huwa vinashinda siku nzima jumapili na mapambio na kwaya na hakuna anayelalamika?
 
Sasa si muhamie star times mkamuangalie mzee wa upako huku azam tuacheni sisi kina masudi.
 
Mkataba wao unaisha lini na ndiyo kwanza wanazidi kuwekeza kwenye ligi kuu Tanzanai bara, TFF hana akili mgando kama zako mwenzako anaangalia maslahi yake kibiashara. Halafu Azam ni kampuni binafsi kwanini mumpangie cha kufanya? Mbona vyombo vya habari binafsi vinavyomilikiwa na wakristo huwa vinashinda siku nzima jumapili na mapambio na kwaya na hakuna anayelalamika? Hebu ifike wakati muache kufikiri kwa kutumia masaburi.
Mkuu wakristo wa nchi hii wanajua tupo zama za kale zile walizozoea kila kitu wawe wao hawajui mambo yamebadilika.
 
Uzi ufungwe hapa jamaa ina onesha hajafanya tafiti za kutosha au anachuki na Uislamu ,kwani Azam TV zipo channel kibao za kikirsto na channel nyingine zisizo za kiislamu hivyo kulikuwa hakuna haja ya kuja kulilia humu.
Hazungumzii wapangaji anazungumzia mwenyeking'amuzi kufanya anachotaka kuhusu kuitangaza dini yake, kumbuka anayelalamika hapati bure matangazo, amelipia.
 
Sawa ving'amuzi ni vingi hata mie pamoja na hiki cha Azam nina cha Startimes,, lakini haiingii akilini wakati unatazama chaneli ya Sinema zetu halafu linaingizwa tangazo la imani ya dini. Tumezowea matangazo ya futiboli yakipachikwa pachikwa, hii sio mbaya kwani soka halina imani moja ya dini na wao wanajipambanua kwa kauli yao ya 'Sisi ni Soka'.
Sasa hujui matangazo ni ndiyo sehemu ya biashara ya Media, hebu peleka tangazo la Dini yako nawe, uambie nataka litangazwe kupitia chanel fulani kama watakataa.
Hebu Watanzania Punguzeni mtazamo wa kidini, ili tuendelee kuishi kama Watanzania.
Star TV, Chanel 10, nakumbuka walikua na vipindi vilivyokua vinaenda nusu saa hata zaidi, Sikuona mtu akija kulalamika

Lusekelo, Kakobe, kuna yule muhindi mweusi Anendes na mkewe nimewajua kupitia vipindi vyao kwenye TV.
 

Suratul Baqarah: Verses 120 .​

Ayah hiyo imeelezea jinsi ambavo hamtoridhika na chochote tutakachofanya sisi mpaka tufanye Kila kitachowapendeza au tuwe kama nyie.

Sasa channel zote za kikristo zilizokuwepo humo na media zote wakristo wanazomiliki Bado makafiri mnaona choyo?hamtaki kabisa hata kwenye media zetu tuweke content za kiislamu.
Acha ujinga basi. Mimi napambania maisha yangu na wanangu. Na nina jamaa zangu kibao tu waislamu. Sema hawana gubu kama lako.

Yaani kwa upumbavu wako mimi nihangaike na kuridhika au kutoridhika na mnachokifanya ili iweje? Kuwa na adabu sio unajumlisha jumlisha watu kwenye kila ujinga. Hiyo sura kawasomee wanao na mkeo kama unao. Hainihusu.

Umeniona kuna sehemu nimelalamika kuhusu hizo channel? Au unajisikia raha tu ukimpakazia kila kafir eh? Kwa taarifa yako hata Azam aweke kaswida channel zote mimi hayanihusu. Aweke movies channels zote mimi hayanihusu. Aweke anachojisikia, wala hayanihusu!
 
Sawa ving'amuzi ni vingi hata mie pamoja na hiki cha Azam nina cha Startimes,, lakini haiingii akilini wakati unatazama chaneli ya Sinema zetu halafu linaingizwa tangazo la imani ya dini. Tumezowea matangazo ya futiboli yakipachikwa pachikwa, hii sio mbaya kwani soka halina imani moja ya dini na wao wanajipambanua kwa kauli yao ya 'Sisi ni Soka'.
Hizi dini zinadumaza sana watu na kuwaondolea common senses. Hebu tuwe wakweli katika mabasi, vyombo vya habari na mitaani matangazo mengi ni kuhusu ukristo, kwaya au mahubiri sidhani kama Azam amepitiliza ila ni Azam ameleta kitu ambacho hatujakizoea kukiona katika macho yetu.

Tuwe wakweli katika hoja zetu na sio hisia.
 
Siyo lazima uangalie azam

Hivi agape, tumaini tv bado zipo

Ova
 
Hao AZAM TV dawa yao wakisha maliza mkataba wa kuonesha mpira wa ligi kuu ya hapa nyumbani TFF isiwauzie tena haki za matangazo mala 1000 wa wauzie DSTV kuliko hawa azam wana udini mwingi sana iyo haipingiki hata kama waislamu wana watetea na kama mpira wa hapa bongo utanza kuoneshwa kwenye dstv hao azam lazima wata funga ofisi tu
Ulilazimishwa kuchukua kingamuz chao

Ova
 
Kupitia jf nmegungua kuwa wakristo weng wana chuki na uislamu,humu kila cku znaletw thread za kuponda na kuwakashifu waislamu ila sijaon thread inayowakashifu wao,nakubalian na coment ya mdau hapo juu kuwa dini zinadumaza akili,,
Kila mtu ashinde mechi zake
Qur'an huwa haisemi uwongo,kwamba ukiwapa mgongo wanakuumia Chanda kwa chuki,hisani aliyofanyiwa nyerere na waislam,ni ngumu kuwafanyia alichowafanya bila kuwa na chuki
 
Humu ndani watu wa pande zote wapo wanaokashifu na kuheshimu imani za wengine. Wanaojiita wakristo wapo wengi tu na wanaojiita waislam wapo wengi tu. Hakuna upande wenye ahueni.

Suala la kutowaamini marafiki zako Wakristo kwa sababu ya watu wa JF ni ujinga wako tu boss. Kuna vimama vina matusi humu na kashafa, je kwa sababu hiyo umepunfuza imani kwa mama zako mashangazi nk?

Cha msingi tu hakikisha hauitusi dini ya mwingine, wewe binafsi wengine wasome au wapotezee. Tuko tofauti sana humu duniani!

Unaweza kukashifu imani fulani miaka na miaka halafu ukafia kwenye imani hiyo hiyo. Ndio maana kwenye majadiliano ya kidini mtu akianza kunikashifu au kuleta uhuni namwongeza tu kwa ignore list.

Tujadiliane bila kukashfiana, japo kuna watu wanadhani kashfa ni hekima!
Kwa upande wa wakisto humu wamezidi japo hata waislamu tuna tania hizo ,ngoja nikupe mifano michache ya umu Kati ya mingi nikiyokuwa nayo
1.kuna member mmoja aliweka signature ikawa kila akicomment inajionesha ina malengo wa kumkashifu Mtume Muhammad (Upon him be paece and blessing of Allah) inayosema "Muhammad hajui kusoma wala kuandika

2.Kuna member humu anaitwa mgeni sio Muislamu lkn kweny avatar kaweka neno Allah lilies na misalaba kwa ajili ya kukashifu uislamu

3.Kuna member anajiita La ilaha ila issa(Id yake) ili kukashifu nguzo ya kwanza ya Uislamu ambayo shahada ya 'La ilaha ilaha illa Allah (Hapana Mungu anayepasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah) na avatar yake kaweka latino ya kukashifu uislamu

Nb:Huwezi kukuta na hamna Muislamu humu ambaye amefikia chuki na kukashifu kiasi hiko

Tukija upande wa thread hapo ndipo wametalawa mifano;

1.Thread ya yule so called prophet nabii shilla alimkashifu yesu japo yeye mkiristo ila wenzako wamepeleka lawama kwa waislamu pamoja na kukashifu

2.Zile zinayosifia wanawake waislamu wasafi na Ktk swala zima la ndoa wapo vizuri japo walioanzisha ni wakiristo kama kutoa pongezi cha ajabu nyuzi hizo wamekuja wazee wa kuponda na kukashifu una matusi kibao na kugeuka uwanja wa mabishano

Nb:Hayo ni machache Kati ya mengi ndio maana nashangazwa na wakirsto wa Jf japo hata sisi waislamu tuna mapungufu yetu mengi humu.
 
Kupitia jf nmegungua kuwa wakristo weng wana chuki na uislamu,humu kila cku znaletw thread za kuponda na kuwakashifu waislamu ila sijaon thread inayowakashifu wao,nakubalian na coment ya mdau hapo juu kuwa dini zinadumaza akili,,
Kila mtu ashinde mechi zake
Hii mada imeponda uislamu sehemu gani?
 
Kwa upande wa wakisto humu wamezidi japo hata waislamu tuna tania hizo ,ngoja nikupe mifano michache ya umu Kati ya mingi nikiyokuwa nayo
1.kuna member mmoja aliweka signature ikawa kila akicomment inajionesha ina malengo wa kumkashifu Mtume Muhammad (Upon him be paece and blessing of Allah) inayosema "Muhammad hajui kusoma wala kuandika

2.Kuna member humu anaitwa mgeni sio Muislamu lkn kweny avatar kaweka neno Allah lilies na misalaba kwa ajili ya kukashifu uislamu

3.Kuna member anajiita La ilaha ila issa(Id yake) ili kukashifu nguzo ya kwanza ya Uislamu ambayo shahada ya 'La ilaha ilaha illa Allah (Hapana Mungu anayepasaye kuabudiwa kwa haki isipokuwa Allah) na avatar yake kaweka latino ya kukashifu uislamu

Nb:Huwezi kukuta na hamna Muislamu humu ambaye amefikia chuki na kukashifu kiasi hiko

Tukija upande wa thread hapo ndipo wametalawa mifano;

1.Thread ya yule so called prophet nabii shilla alimkashifu yesu japo yeye mkiristo ila wenzako wamepeleka lawama kwa waislamu pamoja na kukashifu

2.Zile zinayosifia wanawake waislamu wasafi na Ktk swala zima la ndoa wapo vizuri japo walioanzisha ni wakiristo kama kutoa pongezi cha ajabu nyuzi hizo wamekuja wazee wa kuponda na kukashifu una matusi kibao na kugeuka uwanja wa mabishano

Nb:Hayo ni machache Kati ya mengi ndio maana nashangazwa na wakirsto wa Jf japo hata sisi waislamu tuna mapungufu yetu mengi humu.
Nakuhakikishia hakuna wenye ahueni. Hujakutana nao kwa sababu sio rahisi kuwanotice walio upande wako unless uwe unawafuatilia objectively. Kuna akina gavana na akina kahtaan.

Kuna watu wanaamini kukashifu wengine ni hekima. Na JF wamejaa sana.
 
Back
Top Bottom