Azam TV wekeni mizania sawa imani ya dini

Azam TV wekeni mizania sawa imani ya dini

Hao AZAM TV dawa yao wakisha maliza mkataba wa kuonesha mpira wa ligi kuu ya hapa nyumbani TFF isiwauzie tena haki za matangazo mala 1000 wa wauzie DSTV kuliko hawa azam wana udini mwingi sana iyo haipingiki hata kama waislamu wana watetea na kama mpira wa hapa bongo utanza kuoneshwa kwenye dstv hao azam lazima wata funga ofisi tu
Kwani hakuna channels za mambo ya Kikristo ndani ya king'amuzi Cha AZAM?
 
Hao AZAM TV dawa yao wakisha maliza mkataba wa kuonesha mpira wa ligi kuu ya hapa nyumbani TFF isiwauzie tena haki za matangazo mala 1000 wa wauzie DSTV kuliko hawa azam wana udini mwingi sana iyo haipingiki hata kama waislamu wana watetea na kama mpira wa hapa bongo utanza kuoneshwa kwenye dstv hao azam lazima wata funga ofisi tu
DSTV hawezi kurusha live mpira wa bongo. Kongongole kwake Azam kwa uzalendo usionashaka.
 
Kingamuzi cha Azam kuna option ya others kuna chanell nyingi za cristian uchaguzi ni wako
 
Nchi hii ina waamini wengi Wakristu na Waislam.
Nimekuja gundua Azam Tv wanashindwa kuweka mizania sawa kwa watazamaji wake wa imani hizo mbili.
Pana chaneli mliyoipachika jina la ZBC 2, hii inatosha lakini huku kwengine muwe sawa kwa watazamaji wenu.
Nadhani una matatizo

Channels za makanisa ni nyingi Sana kwenye azam
 
Ukipita Jf ukiona hali za wakiristo(sio wote) wanavyoponda uislamu na kutoa kejeli hata kwenye nada ambazo tofauti kabisa na dini utadhani mitaani tunachijana na hakuna amani kabisa lakini sivyo tunasaidiana wengine ni maswahaba haswa na uswahilini tunaombana chumvi na kushirikiana kwa karibu .

Hawa wa Jf jinsi wanavyo kashifu na kuchukia uislamu yaani wamepanda mbegu kubwa ya chuki hata marafiki zangu wa kikistro upendo umepungua siwaamini kabisa.
Humu ndani watu wa pande zote wapo wanaokashifu na kuheshimu imani za wengine. Wanaojiita wakristo wapo wengi tu na wanaojiita waislam wapo wengi tu. Hakuna upande wenye ahueni.

Suala la kutowaamini marafiki zako Wakristo kwa sababu ya watu wa JF ni ujinga wako tu boss. Kuna vimama vina matusi humu na kashafa, je kwa sababu hiyo umepunfuza imani kwa mama zako mashangazi nk?

Cha msingi tu hakikisha hauitusi dini ya mwingine, wewe binafsi wengine wasome au wapotezee. Tuko tofauti sana humu duniani!

Unaweza kukashifu imani fulani miaka na miaka halafu ukafia kwenye imani hiyo hiyo. Ndio maana kwenye majadiliano ya kidini mtu akianza kunikashifu au kuleta uhuni namwongeza tu kwa ignore list.

Tujadiliane bila kukashfiana, japo kuna watu wanadhani kashfa ni hekima!
 
Hao AZAM TV dawa yao wakisha maliza mkataba wa kuonesha mpira wa ligi kuu ya hapa nyumbani TFF isiwauzie tena haki za matangazo mala 1000 wa wauzie DSTV kuliko hawa azam wana udini mwingi sana iyo haipingiki hata kama waislamu wana watetea na kama mpira wa hapa bongo utanza kuoneshwa kwenye dstv hao azam lazima wata funga ofisi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tuna safari ndefu
 
Jacobus usihemkwe muungwana, ukikereketwa na jambo, tafuta namna ya kulikwepa. Hoja yako ni batili haina makisio ya kuwepo kwenye akili za wenye kujielewa.

Kuna chanel nyingi mmnnoo zinazorusha matangazo ya aina tofauti, tafiti ikufaayo utazame usilete lawama.

ACHA UDINI MZEE BABA
 
Hao AZAM TV dawa yao wakisha maliza mkataba wa kuonesha mpira wa ligi kuu ya hapa nyumbani TFF isiwauzie tena haki za matangazo mala 1000 wa wauzie DSTV kuliko hawa azam wana udini mwingi sana iyo haipingiki hata kama waislamu wana watetea na kama mpira wa hapa bongo utanza kuoneshwa kwenye dstv hao azam lazima wata funga ofisi tu
TFF wamekusikia, tutawanyima baada ya miaka 10!
 
Ukipita Jf ukiona hali za wakiristo(sio wote) wanavyoponda uislamu na kutoa kejeli hata kwenye nada ambazo tofauti kabisa na dini utadhani mitaani tunachijana na hakuna amani kabisa lakini sivyo tunasaidiana wengine ni maswahaba haswa na uswahilini tunaombana chumvi na kushirikiana kwa karibu .

Hawa wa Jf jinsi wanavyo kashifu na kuchukia uislamu yaani wamepanda mbegu kubwa ya chuki hata marafiki zangu wa kikistro upendo umepungua siwaamini kabisa.
Kwel mkuu sio wote weny hz tabia,ila hz tabia inabid zikemewe vikali,sisi wote ni wamoja tofaut za kiimani zisitugawe
 
Hao AZAM TV dawa yao wakisha maliza mkataba wa kuonesha mpira wa ligi kuu ya hapa nyumbani TFF isiwauzie tena haki za matangazo mala 1000 wa wauzie DSTV kuliko hawa azam wana udini mwingi sana iyo haipingiki hata kama waislamu wana watetea na kama mpira wa hapa bongo utanza kuoneshwa kwenye dstv hao azam lazima wata funga ofisi tu
Kagombee urais wa tff
 
Hilo ndo tatizo kubwa mkuu. Sijaona tangazo lolote la Kwaresma wakiliweka wakati huu ni muda wa Kwaresma na Ramadhani pia.
Mkuu kuna tofauti kati ya Ramadhani na Kwaresma.
Ramadhani ni kwa ajili ya waislamu wote duniani, ila Kwaresma ni sio kwa wakristo wote duniani ni kwa wakatoriki tu.
Kwa hiyo unaweza kuweka tangazo la kwaresma kisha walokole na wasabato wakachukia kama wewe ulivyo chukia tangazo la Ramadhani.
 
Nchi hii ina waamini wengi Wakristu na Waislam.
Nimekuja gundua Azam Tv wanashindwa kuweka mizania sawa kwa watazamaji wake wa imani hizo mbili.
Pana chaneli mliyoipachika jina la ZBC 2, hii inatosha lakini huku kwengine muwe sawa kwa watazamaji wenu.
Acha wafanye wnavyoona sawa, mbona kwenye vyombo vya umma wanapiga kwaya tu na hakuna Waislamu wanaolalamika. Mbona vyombo vingi vya habari wanapiga gospel hata vipindi visivyokuwa vya dini na hakuna anayelalamika?
Hayo mambo madogo we chagua channel inayokufaa tazama.
Kwanini sisi Wakristo tunakuwa rahisi kunotice vitu vidogo vya dini nyingine.
 
Ukipita Jf ukiona hali za wakiristo(sio wote) wanavyoponda uislamu na kutoa kejeli hata kwenye nada ambazo tofauti kabisa na dini utadhani mitaani tunachijana na hakuna amani kabisa lakini sivyo tunasaidiana wengine ni maswahaba haswa na uswahilini tunaombana chumvi na kushirikiana kwa karibu .

Hawa wa Jf jinsi wanavyo kashifu na kuchukia uislamu yaani wamepanda mbegu kubwa ya chuki hata marafiki zangu wa kikistro upendo umepungua siwaamini kabisa.
Hawa unaowaitwa wakristo wa jamii forum ndo hao hao tunaoishi nao mtaani, sema tu humu wanatumia majina bandia.
Tatizo unafiki walio nao, kwa kuwa humu wanatumia majina bandia hawajulikani wanajifanya kuponda, tukiwa nao mtaani wanaficha makucha tunaishi nao poa kabisa, chuki zao wao wanazificha moyoni.
Waswahili tuache unafiki haswa tukiwa huku mitandaoni.
 
Hawa unaowaitwa wakristo wa jamii forum ndo hao hao tunaoishi nao mtaani, sema tu humu wanatumia majina bandia.
Tatizo unafiki walio nao, kwa kuwa humu wanatumia majina bandia hawajulikani wanajifanya kuponda, tukiwa nao mtaani wanaficha makucha tunaishi nao poa kabisa, chuki zao wao wanazificha moyoni.
Waswahili tuache unafiki haswa tukiwa huku mitandaoni.
Wakristo na Waislamu kwenye nchi hii wanaishi kinafiki sana. Hawapendani kabisa, kuanzia uraiani hadi mamlakani!
 
Angalia Emanuel TV dada,ujalazimishwa,

Kwaiyo unataka waweke vipindi vya tapeli Mwamposa au gwajima
Mkuu, mie ni Roman Catholic na huwa natizama sana Tumaini Tv humohumo kwenye king'amuzi cha Azam.
Tatizo ninaliliona humu watu badala ya kuelewa hoja yangu wamejikita kwenye udini.
Nimetoa mfano, unaangalia (na sasa hivi naangalia) Sinema Zetu, panawekwa kibwagizo cha dini, je ni pahala pake?
Nimesema pana chaneli ya ZBC2 hii ukiiangalia ni ya kidini, mbona sijailalamikia?
 
Wakristo na Waislamu kwenye nchi hii wanaishi kinafiki sana. Hawapendani kabisa, kuanzia uraiani hadi mamlakani!
Unalosema ni kweli kabisa. Tukiwa pamoja tunaigiza kama tunapendana, ila tusipokuwa pamoja tuna pondana na kuchukiana.
 
Wakristo na Waislamu kwenye nchi hii wanaishi kinafiki sana. Hawapendani kabisa, kuanzia uraiani hadi mamlakani!
Na Cha ajabu wakristo ndio Wana chuki zaidi na Waislamu,

Juzi Kuna mpangaji wangu kaniomba watu wa jumuhia waje kwangu,maana Ni zamu yake, nimemkatalia kabisakabisa, nishaona Hawa watu Wana chuki Sana zisizo na msingi,wanayoonyesha machoni Ni tofauti na waliyobeba rohoni mwao
 
Mkuu kuna tofauti kati ya Ramadhani na Kwaresma.
Ramadhani ni kwa ajili ya waislamu wote duniani, ila Kwaresma ni sio kwa wakristo wote duniani ni kwa wakatoriki tu.
Kwa hiyo unaweza kuweka tangazo la kwaresma kisha walokole na wasabato wakachukia kama wewe ulivyo chukia tangazo la Ramadhani.
Sawa mkuu, kama Kwaresma ni kwa Wakatoliki tu walivogundua ndo nimewaomba waweke mizania sawa kwa wasio na imani ya Kiislam kwenye chaneli ambazo si za kidini.
 
Mkuu, mie ni Roman Catholic na huwa natizama sana Tumaini Tv humohumo kwenye king'amuzi cha Azam.
Tatizo ninaliliona humu watu badala ya kuelewa hoja yangu wamejikita kwenye udini.
Nimetoa mfano, unaangalia (na sasa hivi naangalia) Sinema Zetu, panawekwa kibwagizo cha dini, je ni pahala pake?
Nimesema pana chaneli ya ZBC2 hii ukiiangalia ni ya kidini, mbona sijailalamikia?
Mwambieni tajiri mmoja wa kikristo afungue kituo Cha TV,hawe anafanya hivyo mnavyotaka,usimpangie bakhresa na biashara zake mkuu
 
Back
Top Bottom