Azam TV wekeni mizania sawa imani ya dini

Azam TV wekeni mizania sawa imani ya dini

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,707
Reaction score
1,729
Nchi hii ina waamini wengi Wakristu na Waislam.

Nimekuja gundua Azam Tv wanashindwa kuweka mizania sawa kwa watazamaji wake wa imani hizo mbili.

Pana chaneli mliyoipachika jina la ZBC 2, hii inatosha lakini huku kwengine muwe sawa kwa watazamaji wenu.
 
Ving'amuzi ni vingi sana, lakini Chanel pia kwa huyo Azam Tv zipo nyingi sana za Kikristo wawezatuoia macho yako huko kwa hao

Lakini jaribu pia ku-compare mfano wa Chanel za Clouds Tv, Itv, Star Tv na mfano wake siku za Ijumaa na ulinganishe na siku za Jumapili utanyamaza na kuona hakuna sababu ya ku argue issue kama hii.
 
Nchi hii ina waamini wengi Wakristu na Waislam.
Nimekuja gundua Azam Tv wanashindwa kuweka mizania sawa kwa watazamaji wake wa imani hizo mbili.
Pana chaneli mliyoipachika jina la ZBC 2, hii inatosha lakini huku kwengine muwe sawa kwa watazamaji wenu.
acha ushamba kuna zbc 1 na zbc 2 .....hesabu chaneli za kikristu zipo ngap na za kiislam ni ngap??
upendo tv
hope chanel
wrm tv
arise and shine
tumaini tv jumla mi tano


za kiislam
horizon
mahaasin
africa tv
 
Ving'amuzi ni vingi sana, lakini Chanel pia kwa huyo Azam Tv zipo nyingi sana za Kikristo wawezatuoia macho yako huko kwa hao

Lakini jaribu pia ku-compare mfano wa Chanel za Clouds Tv, Itv, Star Tv na mfano wake siku za Ijumaa na ulinganishe na siku za Jumapili utanyamaza na kuona hakuna sababu ya ku argue issue kama hii.
Sawa ving'amuzi ni vingi hata mie pamoja na hiki cha Azam nina cha Startimes,, lakini haiingii akilini wakati unatazama chaneli ya Sinema zetu halafu linaingizwa tangazo la imani ya dini. Tumezowea matangazo ya futiboli yakipachikwa pachikwa, hii sio mbaya kwani soka halina imani moja ya dini na wao wanajipambanua kwa kauli yao ya 'Sisi ni Soka'.
 
Nchi hii ina waamini wengi Wakristu na Waislam.
Nimekuja gundua Azam Tv wanashindwa kuweka mizania sawa kwa watazamaji wake wa imani hizo mbili.
Pana chaneli mliyoipachika jina la ZBC 2, hii inatosha lakini huku kwengine muwe sawa kwa watazamaji wenu.
Mbona chanel ziko nyingi sana mkuu
 
Ving'amuzi ni vingi sana, lakini Chanel pia kwa huyo Azam Tv zipo nyingi sana za Kikristo wawezatuoia macho yako huko kwa hao

Lakini jaribu pia ku-compare mfano wa Chanel za Clouds Tv, Itv, Star Tv na mfano wake siku za Ijumaa na ulinganishe na siku za Jumapili utanyamaza na kuona hakuna sababu ya ku argue issue kama hii.
Uzi ufungwe hapa jamaa ina onesha hajafanya tafiti za kutosha au anachuki na Uislamu ,kwani Azam TV zipo channel kibao za kikirsto na channel nyingine zisizo za kiislamu hivyo kulikuwa hakuna haja ya kuja kulilia humu.
 
Kupitia jf nmegungua kuwa wakristo weng wana chuki na uislamu,humu kila cku znaletw thread za kuponda na kuwakashifu waislamu ila sijaon thread inayowakashifu wao,nakubalian na coment ya mdau hapo juu kuwa dini zinadumaza akili,,
Kila mtu ashinde mechi zake
Ukipita Jf ukiona hali za wakiristo(sio wote) wanavyoponda uislamu na kutoa kejeli hata kwenye nada ambazo tofauti kabisa na dini utadhani mitaani tunachijana na hakuna amani kabisa lakini sivyo tunasaidiana wengine ni maswahaba haswa na uswahilini tunaombana chumvi na kushirikiana kwa karibu .

Hawa wa Jf jinsi wanavyo kashifu na kuchukia uislamu yaani wamepanda mbegu kubwa ya chuki hata marafiki zangu wa kikistro upendo umepungua siwaamini kabisa.
 
Mi ni Rc kwa ushauri wangu km ukubalian na yanayoendelea Ktk kifukushi cha azam tv si badili vifulushi na Tv zko ming Kuna Dstv, startimes na Netflix nw zingne kibao
Ila kuanza kutoa lawama hapa na kuanza kupangia watu na taasisi zao jinsi ya kufanya kaz ayo ni makosa
Ukwel usiopingika Azam tv maudhui yake meng ata series zake nying niza kiislamu
Km ww ni mpenzi wa ligi ya mpira ya Tanzania bas bakisha azamu kwaajiri ya mpira na km ww sio mpenzi wa mpira bas toa weka uko

Dunia saiv imebadilika machaguzi yako meng km uliziki na apo badili , sio uumie na ukose raha kwa kitu unaweza badili
Azam ni taasisi ya kiislamu na sku zote waislam wanajionaga wao ni special kulko wengne ilo linajukikana na liko wazi huwez kuta azam inaongelea kwalesma ila ikija issu ya kiislam utaona na vilogo flan juu ya screen vitatokea kuonesha mfungo au kitu flan cha dini yao
 
Nchi hii ina waamini wengi Wakristu na Waislam.
Nimekuja gundua Azam Tv wanashindwa kuweka mizania sawa kwa watazamaji wake wa imani hizo mbili.
Pana chaneli mliyoipachika jina la ZBC 2, hii inatosha lakini huku kwengine muwe sawa kwa watazamaji wenu.
Hao AZAM TV dawa yao wakisha maliza mkataba wa kuonesha mpira wa ligi kuu ya hapa nyumbani TFF isiwauzie tena haki za matangazo mala 1000 wa wauzie DSTV kuliko hawa azam wana udini mwingi sana iyo haipingiki hata kama waislamu wana watetea na kama mpira wa hapa bongo utanza kuoneshwa kwenye dstv hao azam lazima wata funga ofisi tu
 
Back
Top Bottom