Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,707
- 1,729
Nchi hii ina waamini wengi Wakristu na Waislam.
Nimekuja gundua Azam Tv wanashindwa kuweka mizania sawa kwa watazamaji wake wa imani hizo mbili.
Pana chaneli mliyoipachika jina la ZBC 2, hii inatosha lakini huku kwengine muwe sawa kwa watazamaji wenu.
Nimekuja gundua Azam Tv wanashindwa kuweka mizania sawa kwa watazamaji wake wa imani hizo mbili.
Pana chaneli mliyoipachika jina la ZBC 2, hii inatosha lakini huku kwengine muwe sawa kwa watazamaji wenu.