Azam Tv kuweni macho

Azam Tv kuweni macho

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,551
Ni juzi tu mlishindwa kurusha world cup,hamjaweza kurusha Kagame na hata EPL hamrushi hata mechi moja ukiachia mbali UEFA.

Hamuoni wenzenu startimes,hamuoni atn,hamuoni tbc na kibaya zaidi hata tbc2 kunakorushwa uefa nyinyi hiyo hamna.

Nataka tu niwaulize,hivi sie wateja wenu wapenzi wa soka mnatuplease vipi? Mnatuletea ligi za holland zitusaidie nini ama mnafurahia tu kupokea 12500 kila mwezi tena kwa vitisho?

Kuweni makini kabla biashara yenu haijaanza kudoda make najua mteja hata mmoja wa kudumu katika biashara ni sawa na mfalme kwako.
 
Well said mkuu, tena DTV nao waliounganishwa juzi ndio wanonyesha mechi gan cjui za mchangani huku ptuuu
 
Niliuza king'amuzi cha startimes nikarukia azam tv? Duh ninajuta bora ningeacha startimes, sioni cha mno!! Hata miziki yao ya kibongo wanrudia ileile mara zote, movies za kibongo ni watu fulani tu, tena wanarudia rudia tu, sijaona channel ya movies kali za action kama ziklizoko zuku nk. Michezo ndo hiyo tunangoja ligi ya bara ya vodacom tu, aaah nimechoka. Kama wanaona haya malalamiko basi wajirekibishe, kabla hawajanipoteza!!
 
ni juzi tu mlishindwa kurusha world cup,hamjaweza kurusha kagame na hata epl hamrushi hata mechi moja ukiachia mbali uefa ...hamuoni wenzenu startimes,hamuoni atn,hamuoni tbc na kibaya zaidi hata tbc2 kunakorushwa uefa nyinyi hiyo hamna ...nataka tu niwaulize,hivi sie wateja wenu wapenzi wa soka mnatuplease vip? mnatuletea ligi za holland zitusaidie nini ama mnafurahia tu kupokea 12500 kila mwezi tena kwa vitisho? kuweni makini kabla biashara yenu haijaanza kudoda make najua mteja hata mmoja wa kudumu katika biashara ni sawa na mfalme kwako

Wakileta hizi gem za EPL means hautolipa tena hiyo elf 12 yako.... kama unataka hizo game pita tu pale DSTV mambo yanakuwa super
 
I have said it before and I will say it again that. DSTv is the only decoder in East. Central and Southern Africa. ting hd. continental. azam. startimes na zuku zote hamna kitu na hata ije nyingine sitahama Dstv. mida hii sina usingizi nina chnl zaidi ya mia nne at my disporsal . zote bomba.
 
Kiukweli kabisa huwezi kulinganisha Dstv na Azam tv.
Kiumri hawalingani Dstv wana zaidi ya miaka 25 wakati Azam tv ndio mwaka wa kwanza.
Idadi ya channel hawalingani.
Ubora wa channel hawalingani.
Viwango vya ulipaji hawalingani...
List ni ndefu lakini cha msingi kuelewa ni kuwa Azam tv ni kwa ajili ya watu wenye vipato vidogo na vikubwa bila kuwabagua.
Ndio maana nembo yao inasomeka BURUDANI KWA WOTE.
 
ni juzi tu mlishindwa kurusha world cup,hamjaweza kurusha kagame na hata epl hamrushi hata mechi moja ukiachia mbali uefa ...hamuoni wenzenu startimes,hamuoni atn,hamuoni tbc na kibaya zaidi hata tbc2 kunakorushwa uefa nyinyi hiyo hamna ...nataka tu niwaulize,hivi sie wateja wenu wapenzi wa soka mnatuplease vip? mnatuletea ligi za holland zitusaidie nini ama mnafurahia tu kupokea 12500 kila mwezi tena kwa vitisho? kuweni makini kabla biashara yenu haijaanza kudoda make najua mteja hata mmoja wa kudumu katika biashara ni sawa na mfalme kwako

Alafu hivi bei sahihi ya king'amuzi cha azam ni sh ngapi?maana nimeenda kuulizia pale mwenge maeneo ya tarakea wanauza 180,000 wakati kuna MTU kaniambia kanunua 130,000 tegeta
 
I have said it before and I will say it again that. DSTv is the only decoder in East. Central and Southern Africa. ting hd. continental. azam. startimes na zuku zote hamna kitu na hata ije nyingine sitahama Dstv. mida hii sina usingizi nina chnl zaidi ya mia nne at my disporsal . zote bomba.

Umesema vema, nyongeza ni kwamba, ving'amuzi vyote (nilivovitumia star times, ting ) havina ubora unaotakiwa hata kidogo n mapambo tu, Ting HD ndo hamna kitu kabisa, umeconnect HDMI lakin quality ya picha n heri ukiweka antenna tu, kifupi hawa wanatuibia tu,
Kwa wale wenye tv za kisasa, hasa Samsung , zina built in decoder na ukichomeka antenna unapata local chanels zote, BBC , aljazeera na nyingine kibao tena Kwa quality ya ukweli sana.

Bottom line is: DSTv ndo mwisho wa kazi, wakongwe wa digital
 
suala la kuonyesha mpira si utashi tu wa mwenye kituo ni kuna mambo ya haki miliki chungu mzima, watu walidanganyika na azam wakadhan ataonyesha mimechi tu ovyo si rahisi, dstv wamemonopplise hili soko huwez ingia kichwa kichwa tu!!! kwa uhakika wa michezo yote ni kua na dstv tu kumbuka vitu vizuri ni aghali!!!
 
Hivi zile chaneli za Bein sports zinapatikana kwenye king'amuzi gani?
 
I have said it before and I will say it again that. DSTv is the only decoder in East. Central and Southern Africa. ting hd. continental. azam. startimes na zuku zote hamna kitu na hata ije nyingine sitahama Dstv. mida hii sina usingizi nina chnl zaidi ya mia nne at my disporsal . zote bomba.

siku hizi DSTV wana tabia isiyofaa, airtime ikiisha wanakata mpaka local chaneli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom