barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,377
- 29,738
Habari zenu!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. king'amuzi cha Azam hata ikinyesha mvua kidogo, kinagoma kabisa kuonyesha, yaani NO SIGNAL kabisaaaaaa!
Nafikiri teknolojia yenu hapo bado ipi chini maana DSTV ikinyesha mvua kinasua sua kama dk 3 alafu baada ya hapo kinaendelea kupeta, yaani kinakuwa kama kimezoea mvua.
Sasa cha Azam Tv ni mpaka mvua iishe kabisa. Sijajua ving'amuzi vingine vikoje, ila tafadharini rekebisheni king'amuzi chenu tuweze kuona Tv kupitia Azam tv majira yote ya mwaka!
ASANTENI.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. king'amuzi cha Azam hata ikinyesha mvua kidogo, kinagoma kabisa kuonyesha, yaani NO SIGNAL kabisaaaaaa!
Nafikiri teknolojia yenu hapo bado ipi chini maana DSTV ikinyesha mvua kinasua sua kama dk 3 alafu baada ya hapo kinaendelea kupeta, yaani kinakuwa kama kimezoea mvua.
Sasa cha Azam Tv ni mpaka mvua iishe kabisa. Sijajua ving'amuzi vingine vikoje, ila tafadharini rekebisheni king'amuzi chenu tuweze kuona Tv kupitia Azam tv majira yote ya mwaka!
ASANTENI.