kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,703
- 11,294
Nikiwa kama mdau wa michezo hasa hizi za ligi yetu na uzalendo wa Nchi yetu niliamua Kwa upendo kabisa kununua Azam Tv (Nina DStv pia) ili niweze kuburudika.
Lakin kwa masikito makubwa hii media sio mara ya kwanza kufanya hivi ila kipind hiki Azam tv wameonesha wazi wazi ubaguzi wa kuonesha hawapendi /kuheshimu Iman za wakristo.
Msimu huu wa xmass wametuoneshea dharau na ubaguzi wa wazi kabisa yaani Azam Tv Wanasahau Kama Wateja Na Watangazaji Wao Wengine Ni Wakristo Wanaogopa Kutamka na Kuandika Neno 'Christmas' azamtvtz
Mnatubagua Sisi Wateja Wenu Sababu Ya Ukristo Wetu!?Hii jambo ni la ovyo sana na baada ya hili tazama hata hizo tamthilia zao nyingi AZAM TWO zimekaa kidini katika mwelekeo wa kuponda ukristo na kutukuza dini Yao.
Na hata wafanyakazi wao huko Azam Media wapeana ajira kiubaguzi na wakristo waliopo ni wale wenye kipaji haswa yaani sio
Hivi kwanini WAGALATIA wengi wanakuwa VIPOFU wakati ugali ukiwekwa mezani wanauona?Nikiwa kama mdau wa michezo hasa hizi za ligi yetu na uzalendo wa Nchi yetu niliamua Kwa upendo kabisa kununua Azam Tv (Nina DStv pia) ili niweze kuburudika.
Lakin kwa masikito makubwa hii media sio mara ya kwanza kufanya hivi ila kipind hiki Azam tv wameonesha wazi wazi ubaguzi wa kuonesha hawapendi /kuheshimu Iman za wakristo.
Msimu huu wa xmass wametuoneshea dharau na ubaguzi wa wazi kabisa yaani Azam Tv Wanasahau Kama Wateja Na Watangazaji Wao Wengine Ni Wakristo Wanaogopa Kutamka na Kuandika Neno 'Christmas' azamtvtz
Mnatubagua Sisi Wateja Wenu Sababu Ya Ukristo Wetu!? Hii jambo ni la ovyo sana na baada ya hili tazama hata hizo tamthilia zao nyingi AZAM TWO zimekaa kidini katika mwelekeo wa kuponda ukristo na kutukuza dini Yao.
Na hata wafanyakazi wao huko Azam Media wapeana ajira kiubaguzi na wakristo waliopo ni wale wenye kipaji haswa yaani sio wa kubahatisha.
We nani alikwambia AZAM TV ni mali ya mgalatia?
Au TV Tumaini ni mali ya ustadh?
Unalalamika kuhusu AZAM TV SISI waislamu tuseme nini kuhusu AGAPE TV , TV TUMAINI Na hizo Channel zote za waimba kwaya kila siku?
Umeshawahi kuona hizo CHANNEL ZA MAKANISA zinatangaza chochote kinachohusu Dini zingine?
We unajua kiasi gani waislamu wanapata tabu kuona mnatangaza mungu kafa? Au kapigwa mpk analilia maji ya kunywa?
Yaani we acha kabisa kujipofua. Kaa kimya.
Ukiona AZAM Haikupendezi Tazama AGAPE TV huenda ukajifunza kile kiingereza cha kufokafoka.
Asante sana