Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,196
- 4,552
Wapi iliko HD mie kwa dstv sio hdAljazeera ana channel ya HD lakini sio katika ving'amuzi vyote.
Wapi iliko HD mie kwa dstv sio hdAljazeera ana channel ya HD lakini sio katika ving'amuzi vyote.
Naunga mkono hoja nina inchi 43 hapa smart iko gud sanaOfficial android iko TCL na Hisense sema TCL wana ubora zaidi ya Hisense
Oi wazee nataka smart TV nzuri angalau sio chini ya inches 43. Ni brand gani kali na bei zake zipoje.
Jiulize pia je bbc ni hd ,
Poa kaka asanteChagua kati ya izo mzehe
LG
Samsung
Sony
Labda na hicense
Watakuja wataaram zaidi watufafanurie zaidi
chukua Hisense Smart inagonga 800k, spika zake zaidi ya JBL kmmmmk hutajutiaOi wazee nataka smart TV nzuri angalau sio chini ya inches 43. Ni brand gani kali na bei zake zipoje.
JBL kmmmmk hutajutia
hiyo kitu na hatari aiseeSasa dron ndiyo utukane mzehe 🤣
Dunia inapaa maneno makali yamekuwa viunganishi.Sasa dron ndiyo utukane mzehe
Eutelsat8 degree 8w Al Jazeera ni HDWapi iliko HD mie kwa dstv sio hd
Tatizo la Sony wanauza na jina la brand yao wanabana sana kwenye upande wa bei ila quality wapo mbali sana ila ukitaka kubana kidogo matumizi TCL na Hisense ndio better options tena kama TCL hata Marekani anauza sana kwa sababu ya bei kuwa chini
Sina la kusema ila nadhan kuna vitu vingine pengine vya kuzngatiwa Ili uweze kua na HD chanel,hilo mimu silijui ila tu kiuhaisia HD n nzuri sana kutizamaSasa mzehe kilangi,,,azam wako juu zaidi ya aljazeera?
Aljazeera anakurushia kitu kisicho Hd sembuse clouds ? Pengine upewe abc za vigezo hivo mzee,mpka sasa ni Maisha magc bongo Hd na hizo azam basi
Sema hisense inabidi utulie uangalie 90% zinakuja na Vidaa chache sana zina Android tv.Official android iko TCL na Hisense sema TCL wana ubora zaidi ya Hisense
Oi wazee nataka smart TV nzuri angalau sio chini ya inches 43. Ni brand gani kali na bei zake zipoje.