Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,150
- 12,831
Yahya Mohamed ni kweli huwa mnaweka camera 7 kwa viwanja vyetu hivi?inawezekana hujui masuala ya utangazaji wa mpira kwa tv,standard ya kutangaza mpira kwa televisheni ni kamera 7 kila mechi na azam wanatumia kamera 7 kila mechi sasa sijakuelewa tatizo lako ni lipi