MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 966
- 1,225
Wakuu sijaelewa mnazungumzia rangi gani hapo ya tv au rangi ya jinsi taarifa yao ya habr inavyoonesha isije kua unatumia C.R.T TV mana hvyo ila kwa wenye FLAT TV mbona SAFIIv unaangalia azam gan mkuu iv azam na ITV wapi wana rangi mbaya
duh kwahiyo mpaka leo bado bado hujanunua king'amuzi chaoAzam inabebwa na ligi ya mpira tu LA sivyo ingedoda km continenental
Mkuu nani anaetumwaMnatumwa kuitangaza hiyo TV kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza mtazamaji ndiye anayeamua TV bora kwake
Juzi hizo maada zilikuwa mbili wakachangia leo imerudia tena inatufanya tujiulize maswali kuna nini?Mkuu nani anaetumwa
Ayo ni mapenzi tu lazima MTU uongee
unatumia tv ya chogo unategemea nini?Inawatangazaji mahiri, lakini TV lao lina rangi mbaya hata king'amuzi rangi yao kama clouds na channel 10 hazivutii kuangalia, azamu watu wanaangalia mpira tu vpl vinginevyo hakuna kitu asikudanye mtu kuifikia ITV itasubiri sana labda wabadilishe rangi ya TV yao mbaya sio clear
Mkuu acha chuki za wazi, azam wamefanya uwekezaji mkubwa zaid na ulio bora zaidi kuliko kituo chochote kile cha tv tanzania,hata rangi yao na resolution ni the best kuliko hao wengine na hata studio zao ni the best,taarifa zao ni za kina na zenye uchambuzi wenye weledi,kwa upande wangu nadhani ukiwa na hofu ya Mungu ukasema ukweli kabisa usio acha shaka yoyote basi wape azam haki yao kwa kusema ukwel kwamba kwa tanzania they are the best.Inawatangazaji mahiri, lakini TV lao lina rangi mbaya hata king'amuzi rangi yao kama clouds na channel 10 hazivutii kuangalia, azamu watu wanaangalia mpira tu vpl vinginevyo hakuna kitu asikudanye mtu kuifikia ITV itasubiri sana labda wabadilishe rangi ya TV yao mbaya sio clear
Apana mkuu apo ndoujue kuna kitu ndani yakeJuzi hizo maada zilikuwa mbili wakachangia leo imerudia tena inatufanya tujiulize maswali kuna nini?
Kweli mkuu wapewe haki yaoMkuu acha chuki za wazi, azam wamefanya uwekezaji mkubwa zaid na ulio bora zaidi kuliko kituo chochote kile cha tv tanzania,hata rangi yao na resolution ni the best kuliko hao wengine na hata studio zao ni the best,taarifa zao ni za kina na zenye uchambuzi wenye weledi,kwa upande wangu nadhani ukiwa na hofu ya Mungu ukasema ukweli kabisa usio acha shaka yoyote basi wape azam haki yao kwa kusema ukwel kwamba kwa tanzania they are the best.
Tv yako mbovu mkuu au ya zamani sana!Inawatangazaji mahiri, lakini TV lao lina rangi mbaya hata king'amuzi rangi yao kama clouds na channel 10 hazivutii kuangalia, azamu watu wanaangalia mpira tu vpl vinginevyo hakuna kitu asikudanye mtu kuifikia ITV itasubiri sana labda wabadilishe rangi ya TV yao mbaya sio clear
Nadhani tatizo ni TV yako..boresha Azam wako vizuriInawatangazaji mahiri, lakini TV lao lina rangi mbaya hata king'amuzi rangi yao kama clouds na channel 10 hazivutii kuangalia, azamu watu wanaangalia mpira tu vpl vinginevyo hakuna kitu asikudanye mtu kuifikia ITV itasubiri sana labda wabadilishe rangi ya TV yao mbaya sio clear
Wamekomaa na 'superbrand Africa Mashariki' kumbe holaaaITV ni jina tu
Utakuwa unatumia AV cables wewe. Unganisha HD cable u enjoy.Inawatangazaji mahiri, lakini TV lao lina rangi mbaya hata king'amuzi rangi yao kama clouds na channel 10 hazivutii kuangalia, azamu watu wanaangalia mpira tu vpl vinginevyo hakuna kitu asikudanye mtu kuifikia ITV itasubiri sana labda wabadilishe rangi ya TV yao mbaya sio clear
Wewe ndio TV yako mbaya nenda katafute TV ya ukweli utawakubali tu jamaa. Watu wa mikoani bado wanaangalia sana ITV. Azam wapi Level ya Mbali sana.Inawatangazaji mahiri, lakini TV lao lina rangi mbaya hata king'amuzi rangi yao kama clouds na channel 10 hazivutii kuangalia, azamu watu wanaangalia mpira tu vpl vinginevyo hakuna kitu asikudanye mtu kuifikia ITV itasubiri sana labda wabadilishe rangi ya TV yao mbaya sio clear
Mmmh kiongozi!ITV ndo nini wadau?