darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 8,719
- 16,931
Azam wanatazamwa zaidi uko pemba
Acheni wivu wa kichaga!Inawatangazaji mahiri, lakini TV lao lina rangi mbaya hata king'amuzi rangi yao kama clouds na channel 10 hazivutii kuangalia, azamu watu wanaangalia mpira tu vpl vinginevyo hakuna kitu asikudanye mtu kuifikia ITV itasubiri sana labda wabadilishe rangi ya TV yao mbaya sio clear