Imekuwaje huko mkuuHuyu mandonga atakuja afe ulingoni
KapigwaImekuwaje huko mkuu
Sijui sana boxing ila nadhan hapa wanakosea. Huyu Mandonga haijapita wiki sasa alipigana Kenya akapigwa na Peter Wanyonyi.Linaishaje kirahisi ivo..
Njaa mbaya.Sijui sana boxing ila nadhan hapa wanakosea. Huyu Mandonga haijapita wiki sasa alipigana Kenya akapigwa na Peter Wanyonyi.
Ilifaa asubiri kidogo au ange skip lile pambano la Kenya. Sawa analipwa lakini taratibu zikoje? Afya yake je?
Leo Wa Tz wameyakanyaga 🤣🤣Twaha anaangushwa hapa raundi ya 3. Tatizo anapaki sana bus akitegemea counter attack. Hapa ni pale ukiwa umezoea football halafu umevamia boxing
Sijui sana boxing ila nadhan hapa wanakosea. Huyu Mandonga haijapita wiki sasa alipigana Kenya akapigwa na Peter Wanyonyi.
Ilifaa asubiri kidogo au ange skip lile pambano la Kenya. Sawa analipwa lakini taratibu zikoje? Afya yake je?
Utashangaa hili pambano Kiduku anashinda kwa points.Leo Wa Tz wameyakanyaga 🤣🤣
Utakua upuuz,bila K.O hii tumepoteza.Wabongilo ninavyowajua hapa ushindi anapewa twaha au wanaimwaga kati
Naona leoWabongilo ninavyowajua hapa ushindi anapewa twaha au wanaimwaga kati
ndio wanapoharibuKwa points twaha amepigwa
Ila wahenga husema mcheza kwao hutunzwa' ebu tuone Sasa hawa marefa