Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,707
- 1,729
Napenda kuwataadharisha viongozi wa Azam FC kuwa wasione wanashangiliwa mno hivi sasa wakajisahau, kumbukeni nchi hii ina virusi viwili katika soka letu navo ni Simba na Yanga. Virusi hivi vimeenea mpaka serikalini sembuse TFF!
Nakumbuka nchi yetu ikipata uhuru palikuwa na timu maarufu ya Cosmopolitans, timu hiyo nadhani imekufa na vikaja vilabu mbadala kama Pamba SC ya Mwanza, Mseto SC ya Morogoro (hivi havikuhusiana ya U-simba/yanga) lakini vipo wapi baada ya kuingiliwa na virusi hivo?
Mkae mkifikiria kuwa mafanikio yenu hafapendwi na Simba wala Yanga na hawa jamaa huungana mara waonapo pana tishio la uhai wao.
Nakumbuka nchi yetu ikipata uhuru palikuwa na timu maarufu ya Cosmopolitans, timu hiyo nadhani imekufa na vikaja vilabu mbadala kama Pamba SC ya Mwanza, Mseto SC ya Morogoro (hivi havikuhusiana ya U-simba/yanga) lakini vipo wapi baada ya kuingiliwa na virusi hivo?
Mkae mkifikiria kuwa mafanikio yenu hafapendwi na Simba wala Yanga na hawa jamaa huungana mara waonapo pana tishio la uhai wao.