TONGONI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 1,041
- 376
Said Bakhresa ndio mfano wa kuigwa kwa ku-invest hela yake kwa Timu ya AZAM
Sawa Mkuu sisi binadamu kila mmoja na uelewa wake....Kila kitu kina nafasi yake na wakati wake,pahala husika atasifiwa Said Bahkresa na inapohusika Azam basi tutataja Azam bila kumtaja Said Bakhresa.