AZAM MILK, artificial au maziwa halisi?

AZAM MILK, artificial au maziwa halisi?

Hute

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,537
Reaction score
6,479
ASAS kule Nduli Iringa anao ng'ombe kibao anafuga, na anakamua maziwa na kutengeneza products nyingi. Azam maziwa yake ni kweli anayatengeneza artificial kama wanavyosema watu mtaani? ng'ombe wake anafugia wapi, anakamua wapi hayo maziwa jamani?

NB: Lengo sio kumharibia biashara, nafikiri kama yuko humu ni nafasi yake kujisafisha ili kuondoa doubt kwasababu kusema kweli binafsi huwa napenda products zake, sasa nilipoambiwa na wenzangu kuwa maziwa ya Azam ni artificial nilisita kuendelea kuyanunua.

Najua kwa mfano juisi za maembe, anatumia maembe halisi, nanasi halisi na matunda mengine halisi (pamoja na kwamba mapera sijajua anachuma kwenye shamba gani?), ila maembe ni halisi.

Kwa wale wenye ufahamu, tuambieni azam maziwa yake anakamua wapi, au anaagiza uarabuni ya ngamia kama wanavyosema huku mitaani?
 
Kwenye box imeandikwa yanatengenezwa unguja nikajiuliza Unguja kuna N'gombe wa kuzaliza maziwa mengi hivi?
 
ASAS kule nduli iringa anao ng'ombe kibao anafuga, na anakamua maziwa na kutengeneza products nyingi. azam maziwa yake ni kweli anayatengeneza artificial kama wanavyosema watu mtaani? ng'ombe wake anafugia wapi, anakamua wapi hayo maziwa jamani?

NB: lengo sio kumharibia biashara, nafikiri kama yuko humu ni nafasi yake kujisafisha ili kuondoa doubt kwasababu kusema kweli binafsi huwa napenda products zake, sasa nilipoambiwa na wenzangu kuwa maziwa ya azam ni artificial nilisita kuendelea kuyanunua.

najua kwamfano juisi za maembe, anatumia maembe halisi, nanasi halisi na matunda mengine halisi (pamoja na kwamba mapera sijajua anachuma kwenye shamba gani?), ila maembe ni halisi. kwa wale wenye ufahamu, tuambieni azam maziwa yake anakamua wapi, au anaagiza uarabuni ya ngamia kama wanavyosema huku mitaani?

Duh mimi nayapenda sana hata leo nimenunua kwa minajili ya kunywa baada ya kupumzika jioni hii, sasa tena unasema no artificial???
 
Haya ni maziwa ya unga .
Anaagiza kwa wingi na kuya badilisha kuwa ya maji.
Kama unahitaji virutubisho vitokanavo na maziwa basi Azam milki sio yenyewe hayana kitu cha faida .
Ni artificial milk yakiwa na ladha ya maziwa.
Nunua Tanga fresh
Asas
Serengeti milk
Au maziwa kutoka kenya .
Azam ni kujaza tumbo tu
 
ASAS kule nduli iringa anao ng'ombe kibao anafuga, na anakamua maziwa na kutengeneza products nyingi. azam maziwa yake ni kweli anayatengeneza artificial kama wanavyosema watu mtaani? ng'ombe wake anafugia wapi, anakamua wapi hayo maziwa jamani?

NB: lengo sio kumharibia biashara, nafikiri kama yuko humu ni nafasi yake kujisafisha ili kuondoa doubt kwasababu kusema kweli binafsi huwa napenda products zake, sasa nilipoambiwa na wenzangu kuwa maziwa ya azam ni artificial nilisita kuendelea kuyanunua.

najua kwamfano juisi za maembe, anatumia maembe halisi, nanasi halisi na matunda mengine halisi (pamoja na kwamba mapera sijajua anachuma kwenye shamba gani?), ila maembe ni halisi. kwa wale wenye ufahamu, tuambieni azam maziwa yake anakamua wapi, au anaagiza uarabuni ya ngamia kama wanavyosema huku mitaani?

kwani mashamba yake ya matunda yapo wapi?
 
Kuwa na kiwanda cha maziwa sio kama una ng'ombe wengi unafuga, kiwanda cha Tanga cha maziwa kina vituo vya kukusanya maziwa katika vijiji mbalimbali na wana vipimo vyao kama ukiweka maziwa maji wanajua
 
Kwani nchi hii hatuna wakulima wa ng'ombe?!..mi nazani ananunua maziwa hayo toka kwa wakulima, nayeye kuyapack kwa lebo yake!
 
sometimes specialization is better than diversification
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom