GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,877
Huku Watu wa Yanga SC wakidhani kuwa Mkataba wao waliouingia Jana na Azam Media ni mnono mpaka wanawacheka Simba SC kumbe wameula tu wa Chuya.
Taarifa za ndani kabisa ambazo msaka Habari ngumu na za Hatari GENTAMYCINE nimezipata zinasema kwamba Azam Media waliona waanze Kuingia Udhamini na Yanga SC kabla ya kuingia na Simba SC Wiki Mbili zijazo ambao utakuwa ni Maradufu Kimaslahi.
" Kaka GENTAMYCINE hivi unadhani Yanga SC wangeona Azam Media imeingia Mkataba na Simba SC wa Tsh Bilioni 90 au 100 na wao wangeingia nao kama ule wa jana wa Tsh Bilioni 41 wangekubali? Walichofanya Azam Media ni kucheza na Akili za Kimbumbumbu za Yanga SC na Ushamba wao kuwawahi na Mkataba ule uliowafunga kwa miaka 10 kisha waje wamalizane na Simba SC kwa Mkataba mkubwa zaidi "
Taarifa za ndani kabisa nilizozipata zinasema Azam Media kwa Ubora wa Simba SC, Mafanikio yake ya ndani na nje ( VPL na CL ) huku ikifanya vyema hata Mitandaoni, Timu Kujulikana zaidi Afrika na Duniani na Mashabiki wake wengi kuwa na mwamko wanaenda Kuingia Mkataba na Simba SC wa kati ya Tsh Bilioni 75 mpaka Tsh Bilioni 90 ambapo kuna uwezekano Simba SC kila Mwezi ikapokea Tsh Milioni 350 mpaka Tsh Milioni 400.
Hongereni sana Azam Media na poleni sana Yanga SC kwa Kutangulizwa huku mkidhani mmepata Pesa nyingi kutoka Azam Media wakati Wiki Mbili zijazo tu Simba SC inaenda Kuingia Mkataba mnono na wenye Vitu vingi vya maana na Simba SC.
Simba SC tujiandaeni Kufurahia zaidi.
Taarifa za ndani kabisa ambazo msaka Habari ngumu na za Hatari GENTAMYCINE nimezipata zinasema kwamba Azam Media waliona waanze Kuingia Udhamini na Yanga SC kabla ya kuingia na Simba SC Wiki Mbili zijazo ambao utakuwa ni Maradufu Kimaslahi.
" Kaka GENTAMYCINE hivi unadhani Yanga SC wangeona Azam Media imeingia Mkataba na Simba SC wa Tsh Bilioni 90 au 100 na wao wangeingia nao kama ule wa jana wa Tsh Bilioni 41 wangekubali? Walichofanya Azam Media ni kucheza na Akili za Kimbumbumbu za Yanga SC na Ushamba wao kuwawahi na Mkataba ule uliowafunga kwa miaka 10 kisha waje wamalizane na Simba SC kwa Mkataba mkubwa zaidi "
Taarifa za ndani kabisa nilizozipata zinasema Azam Media kwa Ubora wa Simba SC, Mafanikio yake ya ndani na nje ( VPL na CL ) huku ikifanya vyema hata Mitandaoni, Timu Kujulikana zaidi Afrika na Duniani na Mashabiki wake wengi kuwa na mwamko wanaenda Kuingia Mkataba na Simba SC wa kati ya Tsh Bilioni 75 mpaka Tsh Bilioni 90 ambapo kuna uwezekano Simba SC kila Mwezi ikapokea Tsh Milioni 350 mpaka Tsh Milioni 400.
Hongereni sana Azam Media na poleni sana Yanga SC kwa Kutangulizwa huku mkidhani mmepata Pesa nyingi kutoka Azam Media wakati Wiki Mbili zijazo tu Simba SC inaenda Kuingia Mkataba mnono na wenye Vitu vingi vya maana na Simba SC.
Simba SC tujiandaeni Kufurahia zaidi.