Azam Media wametumia Akili Kubwa sana kuanza na Yanga SC wakati Mkataba watakaouingia na Simba SC utakuwa ni Mnono zaidi

Yanga ni brand kubwa kuliko simba...nimekupa mfano wa dili ya sport pesa.. hakuna dili hata moja ambayo simba imemzidi yanga hela toka zimeanzishwa hizi timu.. kama ipo hiyo dili iseme.. muwekezaji yeyote akizamini simba na yanga. Simba huwa hamzidi yanga popote. Ila yanga huwaga anamzidi simba mfano sportpesa
Huna Akili acha Kunipotezea muda sawa?
 
Yanga ni brand kubwa kuliko simba...nimekupa mfano wa dili ya sport pesa.. hakuna dili hata moja ambayo simba imemzidi yanga hela toka zimeanzishwa hizi timu.. kama ipo hiyo dili iseme.. muwekezaji yeyote akizamini simba na yanga. Simba huwa hamzidi yanga popote. Ila yanga huwaga anamzidi simba mfano sportpesa
Dili la Sportpesa lilikuja kipindi Yanga anatamba 5yrs back....Simba kwa sasa kampiga gap huyo Yanga when brands are concerned...na Sportpesa wakisema wanarenew mkataba sioni ni kwa namna gani Yanga atamzidi Simba.
 
Mkuu aliyekuwa Kocha wao Luc Eymael hakuwa Mjinga au Mpumbavu alipowaita Yanga wote ni kama Nyani, Mbwa na Sokwe.
Hawa hapa wana Yanga katika matukio tofauti tofauti ikiwa ni pamoja na maandamanano ya kwenda kuyapokea yale magalasa yao
FB_IMG_1616853117648.jpg
FB_IMG_1581784320400.jpg
FB_IMG_1597331622362.jpg
FB_IMG_1625214394973.jpg
FB_IMG_1598022191549.jpg
FB_IMG_1597321771906.jpg
 
Ishu ni kwamba simba alikataa hizo 41B kwa kile cha kuogopa mo, ndo wakahamia kwa yanga
 
Simba hajawai mzidi yanga ujanja katika mikataba.

Pamoja na mbwembwe zote za mo.. dili ya kuvaa jezi zenye nembo ya sport pesa tu yanga imesaini hela nyingi kuliko simba. Kama unabisha nenda google

Hata azam sio wajinga. Yanga kama yanga ni brand kubwa sana.. ndio maana hela tunawazidi mikia kila dili
Kipindi hicho Simba alikuwa na miaka kama mitano hivi hajachukua kombe lolote kwahiyo ilikuwa obvious Simba angepata kidogo kuliko Yanga aliyekuwa ametwaa ubingwa mfululizo mara tatu.

Kwa sasa Simba kwenye contracts zozote Visa vis Yanga Simba lazima awe na package kubwa kwa sababu hata Fanbase yake iko Africa nzima kutokana na ushiriki wake kwenye mashindano makubwa kwa ushindani ukilinganisha na Yanga.

Hata kama Azam watasaini Contract na Yanga kama walivyofanya obvious wa Simba utakuwa na Package kubwa kuliko wa Yanga kwa sababu ya Fanbase ya Simba
 
Kipindi hicho Simba alikuwa na miaka kama mitano hivi hajachukua kombe lolote kwahiyo ilikuwa obvious Simba angepata kidogo kuliko Yanga aliyekuwa ametwaa ubingwa mfululizo mara tatu.

Kwa sasa Simba kwenye contracts zozote Visa vis Yanga Simba lazima awe na package kubwa kwa sababu hata Fanbase yake iko Africa nzima kutokana na ushiriki wake kwenye mashindano makubwa kwa ushindani ukilinganisha na Yanga.

Hata kama Azam watasaini Contract na Yanga kama walivyofanya obvious wa Simba utakuwa na Package kubwa kuliko wa Yanga kwa sababu ya Fanbase ya Simba
Watu wa Yanga SC ni ngumu Kukuelewa.
 
Inawezekana kuwa kweli, japo Super Cup inaweza isitokee
Hata kama hiyo African Super Cup haitotokea bado haiondoi au haizuii Ukweli kuwa Simba SC ni Klabu Bora na iliyopiga Maendeleo makubwa kwa sasa tena si tu Tanzania bali hata Afrika Mashariki yote ( nzima )
 
Hata kama hiyo African Super Cup haitotokea bado haiondoi au haizuii Ukweli kuwa Simba SC ni Klabu Bora na iliyopiga Maendeleo makubwa kwa sasa tena si tu Tanzania bali hata Afrika Mashariki yote ( nzima )
Hilo liko wazi, Simba ina Upper Hand katika negotiation sababu ya perfomance yake Afrika, hawa wenzetu wanafurahia tu bila kujua lijalo
 
Hilo liko wazi, Simba ina Upper Hand katika negotiation sababu ya perfomance yake Afrika, hawa wenzetu wanafurahia tu bila kujua lijalo
99.9999% ya Watu wa Simba SC ni Werevu ( Intelligent ) sana ndiyo maana hata leo hii ukikutana na Wasomi ( Intellectuals ) Kumi ( 10 ) basi Nane ( 8 ) kati yao ni Simba SC Fans ( Supporters ) Mkuu.
 
99.9999% ya Watu wa Simba SC ni Werevu ( Intelligent ) sana ndiyo maana hata leo hii ukikutana na Wasomi ( Intellectuals ) Kumi ( 10 ) basi Nane ( 8 ) kati yao ni Simba SC Fans ( Supporters ) Mkuu.
Aisee nyie vilaza ndo wakutiana moyo kiivyo humu...!!!eti ma intelligent,hivi Manara nae ni intelligent?
 
Swala sio kuwa na Simba Tv swala ni products zako zinamnufaisha huyo broadcaster ?


Simba ina product lukuki kuliko za yanga izo nikizo kuorozeshea hapo ndio azam tv anazitaka ili awavutie watu wanunue king'amuzi chake...amini CAF CL.msimu ujao game za Simba Sc Azam anaweza asizionyeahe ndio maana ame wawahi Yanga Sc so ataonyeaha za Yanga tu unless alete mpunga mezani
Brand tu yenyewe inaa jitosheleza usiifananishe na Yanga

Simba ni CAF CL quater finalist two times in 2020's yanga mara ya mwisho kufika group stage za CAF CL ni lini ?
Wewe umetoa kauli kuwa Simba ina products nyingi kuliko Yanga. Hoja sio brands bali ni products zinazozalishwa na Simba naomba nitajie hizo products maana wewe mwenyewe umesema kuhusu products
 
Huku Watu wa Yanga SC wakidhani kuwa Mkataba wao waliouingia Jana na Azam Media ni mnono mpaka wanawacheka Simba SC kumbe wameula tu wa Chuya.

Taarifa za ndani kabisa ambazo msaka Habari ngumu na za Hatari GENTAMYCINE nimezipata zinasema kwamba Azam Media waliona waanze Kuingia Udhamini na Yanga SC kabla ya kuingia na Simba SC Wiki Mbili zijazo ambao utakuwa ni Maradufu Kimaslahi.

" Kaka GENTAMYCINE hivi unadhani Yanga SC wangeona Azam Media imeingia Mkataba na Simba SC wa Tsh Bilioni 90 au 100 na wao wangeingia nao kama ule wa jana wa Tsh Bilioni 41 wangekubali? Walichofanya Azam Media ni kucheza na Akili za Kimbumbumbu za Yanga SC na Ushamba wao kuwawahi na Mkataba ule uliowafunga kwa miaka 10 kisha waje wamalizane na Simba SC kwa Mkataba mkubwa zaidi "

Taarifa za ndani kabisa nilizozipata zinasema Azam Media kwa Ubora wa Simba SC, Mafanikio yake ya ndani na nje ( VPL na CL ) huku ikifanya vyema hata Mitandaoni, Timu Kujulikana zaidi Afrika na Duniani na Mashabiki wake wengi kuwa na mwamko wanaenda Kuingia Mkataba na Simba SC wa kati ya Tsh Bilioni 75 mpaka Tsh Bilioni 90 ambapo kuna uwezekano Simba SC kila Mwezi ikapokea Tsh Milioni 350 mpaka Tsh Milioni 400.

Hongereni sana Azam Media na poleni sana Yanga SC kwa Kutangulizwa huku mkidhani mmepata Pesa nyingi kutoka Azam Media wakati Wiki Mbili zijazo tu Simba SC inaenda Kuingia Mkataba mnono na wenye Vitu vingi vya maana na Simba SC.

Simba SC tujiandaeni Kufurahia zaidi.
Pamoja na yote hiyo atachukua mwenye timu yake si mmeshauza kila kitu
 
Back
Top Bottom