Muhsin Snr
Senior Member
- May 8, 2020
- 149
- 177
Mkuu umetisha azam hana pesaHapo hakuna hoja yoyote,na usidhani kuwa yanga hawajui kuwa,moja ya udhaifu mkubwa wa simba ni uongozi,azqm wanatia saini na nani simba?,mo?au viongozi wa simba?,leo unaiona yanga iko chini,subiri kama mwaka utaiongelea yanga hii hii,unavyoingelea sasa,pia fahamu kuwa azam haina uwezo wa kifedha,kutoa kiasi kikubwa cha fedha hicho kwa timu kubwa 2 nchini tanzania
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂