Azam Media na hadaa za heri ya Christmas na mwaka mpya

Naona Azam Media ni kama wanajilazimisha kutoa salamu za Christmass kwa watazamaji wao, maana matangazo yao yote wanaishia kuliruka neno Christmas na kutaja heri ya Mwaka Mpya.

Binafsi naona kama wanajichosha bure tu tu sijui ni katika Muktadha wa dini yao kupingana na shamra shamra za Christmass maana Jingle wanatumia za Christmass ila kulitamka wanapata kigugumizi.

Nawasihi Azam Media wajikite katika kuheshimu imani za watazamaji wao wote maana wao wamejitanabaisha kama Media isiyo na udini lakini kwa ndani wana itikadi za kidini kwa kubeza dini moja na kuheshimu imani moja pekee.

Azam Media Badilikeni, tambueni kuna Great Thinker tunawafuatalia kwa karibu pamoja na maudhui yenu.
anzisha media house yako kisha kila mwaka watakie watu wako salam za christamass.
 
Naona Azam Media ni kama wanajilazimisha kutoa salamu za Christmass kwa watazamaji wao, maana matangazo yao yote wanaishia kuliruka neno Christmas na kutaja heri ya Mwaka Mpya.

Binafsi naona kama wanajichosha bure tu tu sijui ni katika Muktadha wa dini yao kupingana na shamra shamra za Christmass maana Jingle wanatumia za Christmass ila kulitamka wanapata kigugumizi.

Nawasihi Azam Media wajikite katika kuheshimu imani za watazamaji wao wote maana wao wamejitanabaisha kama Media isiyo na udini lakini kwa ndani wana itikadi za kidini kwa kubeza dini moja na kuheshimu imani moja pekee.

Azam Media Badilikeni, tambueni kuna Great Thinker tunawafuatalia kwa karibu pamoja na maudhui yenu.
Mimi ni mkristo, katika dini yangu ya ukristo, hakuna kitu kinaitwa Christmass.

Hiyo ni sherehe ya kishetani, ilikuwepo kabla ya Kristo kuzaliwa. Imelazimishwa kuwa sehemu ya sherehe za kidini na wapagani ambao walitishika na ukubwa wa jina Yesu. Wakaamua kuzaliwa kwa Yesu kuhusishwe na sherehe yao ya enzi na enzi.

Hivyo azam kuikwepa Christmas wako sawa maana hakika wanajua huyu Yesu ambaye wanamuita ISSA BIN MARIAM hakuzaliwa tar 25 dec.

Siyo vizuri kutukuza ushetani. Kama umechoka kutumia azam media, achana nayo rudi TBC ambao taarifa za kusifu na kutukuza ni jadi yao
 
Mimi ni mkristo, katika dini yangu ya ukristo, hakuna kitu kinaitwa Christmass.

Hiyo ni sherehe ya kishetani, ilikuwepo kabla ya Kristo kuzaliwa. Imelazimishwa kuwa sehemu ya sherehe za kidini na wapagani ambao walitishika na ukubwa wa jina Yesu. Wakaamua kuzaliwa kwa Yesu kuhusishwe na sherehe yao ya enzi na enzi.

Hivyo azam kuikwepa Christmas wako sawa maana hakika wanajua huyu Yesu ambaye wanamuita ISSA BIN MARIAM hakuzaliwa tar 25 dec.

Siyo vizuri kutukuza ushetani. Kama umechoka kutumia azam media, achana nayo rudi TBC ambao taarifa za kusifu na kutukuza ni jadi yao
Ahsante kwa somo zuri
Kumbe Christmas kiasili ni siku kuu ya mapagani ambayo wajanja wameiweka Katika Ukristo.
 
Mambo ya udini yaogope sana

Wanachokipanda azam media ni hatari kwa usalama wa nchi hata wakubwa wengi wanalizungumza hilii
Hawa Azam ni wadini sana, wabaguzi sana ila muda ni mwalimu mzuri, IPO siku ntakupigia kiberiti hichi king'amuzi.
 
Azam ni Television ya kiislam inayojilazimisha kuishi na wakristo ,
Kama wakai na wamongoli kwenye tamthilia ya otoman,

Hakuna mtangazaji au mtu atasema Heri ya Christmas!
Badala yake wanasema heri ya sikukuu
 
Naona Azam Media ni kama wanajilazimisha kutoa salamu za Christmass kwa watazamaji wao, maana matangazo yao yote wanaishia kuliruka neno Christmas na kutaja heri ya Mwaka Mpya.

Binafsi naona kama wanajichosha bure tu tu sijui ni katika Muktadha wa dini yao kupingana na shamra shamra za Christmass maana Jingle wanatumia za Christmass ila kulitamka wanapata kigugumizi.

Nawasihi Azam Media wajikite katika kuheshimu imani za watazamaji wao wote maana wao wamejitanabaisha kama Media isiyo na udini lakini kwa ndani wana itikadi za kidini kwa kubeza dini moja na kuheshimu imani moja pekee.

Azam Media Badilikeni, tambueni kuna Great Thinker tunawafuatalia kwa karibu pamoja na maudhui yenu.

Naomba nikupe taarifa kuwa sio wakristo wote wanaosherehekea kuzaliwa kwa Yesu tar 25th Dec kwani baadhi wana amini hiyo tarehe ni ya kutungwa. Ukitaka ushuhuda unaweza kutembelea Kanisa lolote la Mashahidi wa JEHOVA ( Jehova Witness), Wasabato (Sabbath Adventists) nk Vile vile yapo makanisa yasiyo adhimisha kufa na kufufuka kwake ( pasaka). Nafikiri kukosa maono (exposure)ndiko hufanya watu kukuza mambo madogo madogo ambayo hata hayana impact yoyote, badala ya kufikiria namna ya kujikwamua kiuchumi; Shame!!!
Ninacho maanisha ni kuwa, fuata maisha yako wala usijihangaishe kufuatilia maisha ya watu wengine kwani; ingekuwa ni muhimu ungeanza kwanza kuhoji hao wanaojiita wafuasi wa Yesu ila hawaoni umuhimu wa kusheherekea hiyo tar 25th Desemba!!!
 
Ufinyu wa utashi wa hao wahariri na team nzima kuendekeza udini mwenye media ambapo watu wengi wa dini na imani tofaut wanatumia huduma hiyo
 
Bora mwaka huu wamejaribu kidogo ila miaka mingine ni kama hakuna kitu ila kwenye zile sikukuu za kiislam unakuta wanawake matangazo ya kutosha na wanaitaja kwa jina kuwa sikukuu fulani
 
Naomba nikupe taarifa kuwa sio wakristo wote wanaosherehekea kuzaliwa kwa Yesu tar 25th Dec kwani baadhi wana amini hiyo tarehe ni ya kutungwa. Ukitaka ushuhuda unaweza kutembelea Kanisa lolote la Mashahidi wa JEHOVA ( Jehova Witness) nk Vile vile yapo makanisa yasiyo adhimisha kufa na kufufuka kwake ( pasaka).
Ninacho maanisha nikuwa, fuata maisha yako wala usijihangaishe kufuatilia maisha ya watu wengine kwani; ingekuwa ni muhimu kwako ungeanza kwanza kuhoji hao wanaojiita wafuasi wa Yesu ila hawaoni umuhimu wa kusheherekea hiyo tar 25th Desemba!!!
Point
Mwenye kuelewa na aelewe ila asiyejua maana haambiwi maana
 
Mtoa mada ndiyo mdini namba moja, inaonesha kila anachokiona Azam tv anakipima kwa udini kwa kuwa mmiliki ni muislamu. Ila ukumbuke hiyo ni biashara ya mtu binafsi . inawezekana mtoa mada hakuona Kama ni hatari kwa mkuu wa nchi kujaza serikalini watu wa dini moja Ila kwa Azam tv umeona ni hatari acha udini
 
Hakuna mfanyabiashara mfia dini, ndo maana bidhaa yake anawauzia watu wa dini zote hata wapagani.

Kwa kawaida sehemu kubwa ya akili ya mfanyabiashara inawaza pesa. Wacha tuendelee kudanganyana eti tumeishika dini, siku yaja ya kutenganisha mchele na pumba.
 
Kwani kuna aliyelazimishwa kutazama Azam? Chanel za dini si zipo kibao kwnn ulielie na Azam? Kuna upendo tv na nyingine nyingi tu, mnaendekeza sana mambo ya Udini matahira nyinyi, anzisheni nchi yenu basi au hamieni Roma maana hii sio nchi ya kidini ndio maana kuna watu wa dini zote na tunaishi kwa upendo tu, sasa nyie matahira wachache msio na akili mnaleta mambo ya kipuuzi
Huyu ni miongoni mwa wajinga wengi nchini.
 
Great thinkers hawana jicho la kuona upuuzi unaoona,we unaona dini tu,great thinker gani!?..Kama unataka Christmas wishes jingles play kwenye PC,radio au simu yako,usimpangie mtu Cha kufanya na Mali zake,upendo TV ipo,fungua utskuna na Xmas jingles unazotaka
Wewe ni mmoja wa Watu ambao ni mzigo kwa Taifa.
 
Uislamu ni mfumo mzima wa maisha ya mwanaadamu, wagalatia hua mnateseka sana sababu hamuelewi kabisa uislamu.

Ni kosa kubwa ndani ya uislamu kusherehekea au kuzi promo sikukuu za Christmas, Kwahiyo usifikiri kuwa wanafanya hivyo kwa chuki binafsi, bali ni katika jitihada za kuheshimu Dini yao.
Acha kukariri Haya kachambe na mchanga
 
Back
Top Bottom