Azam Media mnastahili pongezi

Azam Media mnastahili pongezi

AZAM TV wanastahili hongera. Wengine bado hawajasoma alama za nyakati kwamba watu wanahitaji nini wakati gani. wanahitaji kubadilika kuendana na mazingira siyo kuwa na ratiba zisizo badilika, kwa sababu kunapokuwa na matukio maalumu vipindi vya kila siku watazamaji hupungua kwa kuelekea kwenye matukio maalumu
Waache waendelee kukariri na vihabari vyao vya kurekodi,mara ukute picha au video zimeingiliana ya taifaa hiyo.Mara mtangaza habari kagandishwa huku habari imegoma.Na tisa kumi leo nimeona kule taifa tv kuna muda ilijitokeza VLC MEDIA PLAYER wakati wakiripoti toka Dodoma.Sasa sijajua kuwa ilikuwaje kuwaje.Au walikuwa wanafanya ma installation.Sina jibu mnaojua nisaidieni
 
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa uongozi wa (azam media) kwa kuwa hewani siku nzima ya leo katika kutujuza yanayoendelea dodoma,tofauti na vyombo vingine vya habari, na ihi inatoa picha kwamba kipindi cha kampeni azam media itawashinda vyombo vingine kwa utoaji bora wa habari kwa kina,

Wako poa sana
 
udhaifu wa azam upo ktk picha, zinaonekana kufifia kidogo. Mwanzoni wkt natumia cabletv, niliamini ni kwa sababu ya cable tv. sasa nina king'amzi cha startimes ambapo nilikuwa nakidaka kupitia channel ten. picha zinafifia, nahisi hawajapata mtu maakini wa kuchanganya rangi na background selection.

By the way, kwa nini hakipatikani startimes?
 
azam media safi sana...rangi iongezeeni maarifa ionekane vizuri..hongera sana mna waandishi bira kuwahi kutokea katika miaka ya karibuni
 
watangazaji wengine walikuwa wanaogopa kuwahoji vigogo....lakini baruani muhuza alikuwa nao sambamba......safi sana tido mhando...super brain..safi sana bakhresa kwa kuleta viwango katika habari
 
Back
Top Bottom