PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,178
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa uongozi wa (azam media) kwa kuwa hewani siku nzima ya leo katika kutujuza yanayoendelea dodoma,tofauti na vyombo vingine vya habari, na ihi inatoa picha kwamba kipindi cha kampeni azam media itawashinda vyombo vingine kwa utoaji bora wa habari kwa kina,