CarloJesus
JF-Expert Member
- Nov 5, 2019
- 431
- 833
Maudhui ya kipindi kiujumla yalilenga kutuhabarishana habari mbalimbali za uchumi,siasa, Jamii na burudani ndani na Nje ya mipaka ya nchi yetu.
Nyingi za habari hizi zimekua muhimu na nyeti kama taarifa za Serikari kutoka kwa viongozi wetu kwa umma.
Niseme tuu uwasilishaji wa kipindi hiki na watangazaji wake, kama kweli hawa ndo wamesomea habari Ile mnaita "Junalizimu". Basi ni aibu kubwa na mnachafua brand.
Hakieleweki kama huwa wanapiga soga, wanachofanya (maana nako wanafeli) ,au ni comedians, na mbaya zaidi kote huko huwa wanakuwa kama vituko.
Walau segment ndogo ya michezo ya ndugu Zuberi inakuwa sawa.
Kwanini msimchukue Raymond wa kipindi ha saa sita hadi saa saba, mbona huwa anafanya vizuri, sio hao watoto hapo.
Vinginevyo hamjali professionalism na mnakumbatiana kindugu ndugu.
Hivi hili nalo mpaka wataalamu waliosomea habari walione.
Sina wivu, ni mtazamo huru kabisa kutaka kuboresha zaidi kwa michango ya sisi walaji wenu
Ukiachilia mbali ujumbe unaolalia upande mmoja, mbona TBC wanawashinda namna ya kuwasilisha habari?
Yaani siku hizi ukifungua redio badala ya kukutana na habari, unakutana na soga wanazopiga watu redioni au kwenye TV.
Hivi hamuwezi kujifunza kwa Idhaa za Kimataifa kama BBC, Idhaa ya Ujerumani, Ifaransa na China.
Mbona wanatumia nusu saa tu na bado tunapata habari murua gena katika uwasilishaji mzuri kabisa.
Azam media mmewekeza sana katika miundombinu vizuri, tahadhari tupeni jicho katika rasilimali watu pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyingi za habari hizi zimekua muhimu na nyeti kama taarifa za Serikari kutoka kwa viongozi wetu kwa umma.
Niseme tuu uwasilishaji wa kipindi hiki na watangazaji wake, kama kweli hawa ndo wamesomea habari Ile mnaita "Junalizimu". Basi ni aibu kubwa na mnachafua brand.
Hakieleweki kama huwa wanapiga soga, wanachofanya (maana nako wanafeli) ,au ni comedians, na mbaya zaidi kote huko huwa wanakuwa kama vituko.
Walau segment ndogo ya michezo ya ndugu Zuberi inakuwa sawa.
Kwanini msimchukue Raymond wa kipindi ha saa sita hadi saa saba, mbona huwa anafanya vizuri, sio hao watoto hapo.
Vinginevyo hamjali professionalism na mnakumbatiana kindugu ndugu.
Hivi hili nalo mpaka wataalamu waliosomea habari walione.
Sina wivu, ni mtazamo huru kabisa kutaka kuboresha zaidi kwa michango ya sisi walaji wenu
Ukiachilia mbali ujumbe unaolalia upande mmoja, mbona TBC wanawashinda namna ya kuwasilisha habari?
Yaani siku hizi ukifungua redio badala ya kukutana na habari, unakutana na soga wanazopiga watu redioni au kwenye TV.
Hivi hamuwezi kujifunza kwa Idhaa za Kimataifa kama BBC, Idhaa ya Ujerumani, Ifaransa na China.
Mbona wanatumia nusu saa tu na bado tunapata habari murua gena katika uwasilishaji mzuri kabisa.
Azam media mmewekeza sana katika miundombinu vizuri, tahadhari tupeni jicho katika rasilimali watu pia.
Sent using Jamii Forums mobile app