rushanju JF-Expert Member Joined Nov 3, 2011 Posts 3,327 Reaction score 5,594 Jul 26, 2013 #2 Tunakisubiri hicho Kisimbuzi. Je kitakuwa ni sh. ngapi kwa kukinunua na pia sh ngapi kama malipo ya mwezi
Tunakisubiri hicho Kisimbuzi. Je kitakuwa ni sh. ngapi kwa kukinunua na pia sh ngapi kama malipo ya mwezi
Krama JF-Expert Member Joined Mar 2, 2011 Posts 293 Reaction score 80 Jul 26, 2013 Thread starter #3 rushanju said: Tunakisubiri hicho Kisimbuzi. Je kitakuwa ni sh. ngapi kwa kukinunua na pia sh ngapi kama malipo ya mwezi Click to expand... Kisimbus chenyewe ni 48000, ila ukinunua seti nzima pamoja na dishi lake ni 90000, malipo kwa mwezi ni tsh 2000 tuu!!
rushanju said: Tunakisubiri hicho Kisimbuzi. Je kitakuwa ni sh. ngapi kwa kukinunua na pia sh ngapi kama malipo ya mwezi Click to expand... Kisimbus chenyewe ni 48000, ila ukinunua seti nzima pamoja na dishi lake ni 90000, malipo kwa mwezi ni tsh 2000 tuu!!
Kitaeleweka JF-Expert Member Joined Jul 30, 2012 Posts 394 Reaction score 88 Jul 26, 2013 #4 Je kitacover mpaka mikoani au ni dsm tu? Niko ludewa porini sana nahitaji kujua kwani nilitaka nifunge dstv msimu huu.
Je kitacover mpaka mikoani au ni dsm tu? Niko ludewa porini sana nahitaji kujua kwani nilitaka nifunge dstv msimu huu.
The Boss JF-Expert Member Joined Aug 18, 2009 Posts 49,320 Reaction score 117,611 Jul 26, 2013 #5 itabidi tukisubirie kwa hamu
Nicas Mtei JF-Expert Member Joined Dec 21, 2010 Posts 11,556 Reaction score 7,106 Jul 26, 2013 #6 The Boss said: itabidi tukisubirie kwa hamu Click to expand... Ni matumaini yangu kuwa chaweza kuwa na nafuu kuliko haya mauchafu ya star times
The Boss said: itabidi tukisubirie kwa hamu Click to expand... Ni matumaini yangu kuwa chaweza kuwa na nafuu kuliko haya mauchafu ya star times
The Boss JF-Expert Member Joined Aug 18, 2009 Posts 49,320 Reaction score 117,611 Jul 26, 2013 #7 Nicas Mtei said: Ni matumaini yangu kuwa chaweza kuwa na nafuu kuliko haya mauchafu ya star times Click to expand... kiwe nafuu na quality itakuwa poa
Nicas Mtei said: Ni matumaini yangu kuwa chaweza kuwa na nafuu kuliko haya mauchafu ya star times Click to expand... kiwe nafuu na quality itakuwa poa
M mwitu JF-Expert Member Joined Jun 22, 2012 Posts 856 Reaction score 200 Jul 26, 2013 #8 nafikiri itakuwa mbaka mikoani maana wanatumia dishi
M mkwava New Member Joined Jul 23, 2013 Posts 1 Reaction score 1 Jul 26, 2013 #9 dstv ni kila kitu.hawawezi kuonyesha epl wakionyesha mimi nakufa
ChescoMatunda JF-Expert Member Joined Jan 7, 2009 Posts 1,232 Reaction score 443 Jul 26, 2013 #10 mkwava said: dstv ni kila kitu.hawawezi kuonyesha epl wakionyesha mimi nakufa Click to expand... Kama hujafa je!!!!!😕
mkwava said: dstv ni kila kitu.hawawezi kuonyesha epl wakionyesha mimi nakufa Click to expand... Kama hujafa je!!!!!😕
Obe Platinum Member Joined Dec 31, 2007 Posts 10,278 Reaction score 35,639 Jul 26, 2013 #11 mkwava said: dstv ni kila kitu.hawawezi kuonyesha epl wakionyesha mimi nakufa Click to expand... ..............chimba kaburi kabisa na kama wewe ni kibonge anza kupunguza uzito ili usitusumbue tutakaobeba maiti yako
mkwava said: dstv ni kila kitu.hawawezi kuonyesha epl wakionyesha mimi nakufa Click to expand... ..............chimba kaburi kabisa na kama wewe ni kibonge anza kupunguza uzito ili usitusumbue tutakaobeba maiti yako
Nicas Mtei JF-Expert Member Joined Dec 21, 2010 Posts 11,556 Reaction score 7,106 Jul 26, 2013 #12 The Boss said: kiwe nafuu na quality itakuwa poa Click to expand... Ni matumaini yangu kuwa yaweza kuwa na quality nzuri kwa sababu wanatumia dish.. Kwa nijuavyo ni kwamba dish huwa zina leta frequency nzuri..
The Boss said: kiwe nafuu na quality itakuwa poa Click to expand... Ni matumaini yangu kuwa yaweza kuwa na quality nzuri kwa sababu wanatumia dish.. Kwa nijuavyo ni kwamba dish huwa zina leta frequency nzuri..
Nicas Mtei JF-Expert Member Joined Dec 21, 2010 Posts 11,556 Reaction score 7,106 Jul 26, 2013 #13 mkwava said: dstv ni kila kitu.hawawezi kuonyesha epl wakionyesha mimi nakufa Click to expand... hata hivyo hawataonyesha ila wataonesha..
mkwava said: dstv ni kila kitu.hawawezi kuonyesha epl wakionyesha mimi nakufa Click to expand... hata hivyo hawataonyesha ila wataonesha..
Chimunguru JF-Expert Member Joined May 3, 2009 Posts 10,678 Reaction score 4,377 Jul 26, 2013 #14 tutapanda foleni kubwa mnoooo kununua, Azam unatisha
Krama JF-Expert Member Joined Mar 2, 2011 Posts 293 Reaction score 80 Jul 26, 2013 Thread starter #15 mwitu said: nafikiri itakuwa mbaka mikoani maana wanatumia dishi Click to expand... Kitakuwa tanzania nzima!!
mwitu said: nafikiri itakuwa mbaka mikoani maana wanatumia dishi Click to expand... Kitakuwa tanzania nzima!!
Krama JF-Expert Member Joined Mar 2, 2011 Posts 293 Reaction score 80 Jul 26, 2013 Thread starter #16 Chimunguru said: tutapanda foleni kubwa mnoooo kununua, Azam unatisha Click to expand... SSB ndo habari ya mjin
Chimunguru said: tutapanda foleni kubwa mnoooo kununua, Azam unatisha Click to expand... SSB ndo habari ya mjin
Belo JF-Expert Member Joined Jun 11, 2007 Posts 12,913 Reaction score 10,263 Jul 26, 2013 #17 Huenda Digitek,Continental,Star Times wakakosa kabisa wateja
T tusichoke JF-Expert Member Joined Apr 2, 2011 Posts 1,316 Reaction score 216 Jul 26, 2013 #18 Star tv wametangaza kuwa tayari TFF imeshaingia mkataba na Azam media kuonyesha ligi kuu tanzania bara ,kwa hiyo kitakuwepo
Star tv wametangaza kuwa tayari TFF imeshaingia mkataba na Azam media kuonyesha ligi kuu tanzania bara ,kwa hiyo kitakuwepo
Tumsifu Samwel JF-Expert Member Joined Jul 30, 2007 Posts 1,408 Reaction score 162 Jul 26, 2013 #19 Hii itakua ni habari njema sana kwa watz wengi
Krama JF-Expert Member Joined Mar 2, 2011 Posts 293 Reaction score 80 Jul 26, 2013 Thread starter #20 tusichoke said: Star tv wametangaza kuwa tayari TFF imeshaingia mkataba na Azam media kuonyesha ligi kuu tanzania bara ,kwa hiyo kitakuwepo Click to expand... Yaaaah, hii kitu ni ya uhakika,, mwez wa nane hapo mzigo unakuwa on air!! Andaa buku mbili zako mapemaaa za malipo ya mwez
tusichoke said: Star tv wametangaza kuwa tayari TFF imeshaingia mkataba na Azam media kuonyesha ligi kuu tanzania bara ,kwa hiyo kitakuwepo Click to expand... Yaaaah, hii kitu ni ya uhakika,, mwez wa nane hapo mzigo unakuwa on air!! Andaa buku mbili zako mapemaaa za malipo ya mwez