Ona hii koloBila ya Chama hiyi list ni batili
Kwani Manula alivyokuwa klabu bingwa mbona kakaa sana humu kwenye vikosi vya wiki? Mbona Manula mumemuimba sana kwa jina la Tanzania one? Mbona Manula kaibeba sana kwa saving zake? Wabongo kwa kuwa vinyonga tunaongoza.Huyu mwamba ni nomaa. Aishi Manula pole sana huwezi kushindana na huyu mwamba katika nyanja zote zilizowazi uwanjani labda umroge.
Jamaa ni bonge la sweeper na bonge la nyanda.
Ni kipa bora round 3 Ligi ya Mabingwa.
Aisee, hivi kumpiga mtu misumari ni laki tu Ndiyo maana wanasema njia ya uzima ni nyembamba. Ni rahisi kubomoa kuliko kujengaWazee wa misumari muwe na huruma na tajiri na sisi mashabiki. Mchezaji anasajiliwa kwa hela nyingi mshahara mkubwa wewe unalipa laki tu kumpiga misumari
Manura na Boko ni hatariAsubirie misumali kutoka kwa manula
wewe ni tomaso nenda Caf yenyewe kwenye site yao kama hutaikuta hii orodha, ukiikosa nidai milioniHiyo list yako sio kutoka Caf wenyewe, Wydad hawawezi kutoa wachezaji watano kwenye kikosi cha wiki
Kuna timu 16 halafu wachezaji watoke timu ndani ya timu 6 tu
Etoile du Sahel 1
Yanga 1
Asec 2
Simba 1
Tp Mazembe 1
Wydad 5