Hata Sina kinyongo
Senior Member
- May 16, 2020
- 118
- 280
Kwa mujibu ya Kiongozi wa Nchi fulani huko Duniani amewapiga kijembe Viongozi wa kanda yake kwa kuwakumbusha kwamba; AYAPAMBANIAYE MAISHA YAKE ATAYAANGAMIZA.
Wajuvi, kauli hiyo inapeleka ujumbe gani kwa Viongozi wenzake!?
Wajuvi, kauli hiyo inapeleka ujumbe gani kwa Viongozi wenzake!?

