nilivyo ona hilo jina el chapo nikajua nitakutana na mambo ya drugs, mapesa n.k.
afu humo nimenusa harufu ya u jay moo mambo ya pesa madafu.
afu hawa jamaa wanaodai kuimba hippop wanasubiriana kwanza kujua mwenzake atatoa wimbo gani? juzi fid q leo AY kesho? au mambo ya kill Awards yanakaribia?