Nairobifly
Member
- May 3, 2012
- 75
- 26
Wadau kwa jinsi mambo yanavyo kwenda ktk awamu hii ya nne ya uongozi wa mh.JK inaweza tokea historia ya karne ktk nchi hii. Nasema hivyo kwa sababu ya mambo makuu mawili. 1.Wapinzani kuchukua nchi, hii ni kutokana na speed kali ya Cdm na watu wengi kufunguka. R.i.p chama changu Ccm. 2.Muungano kuvinjikia mikononi mwa Jk, hili nalo ni kwa sababu ya kasi ya ajabu wanalokujanalo uamsho ktk kudai uhuru wa zanzibar. Je wandugu hili ninyi mnaliona vp? Mungu ibariki Tanzania.