Habari ndugu zangu,
Nimekua nikisikia malalamiko eti ooh maisha magumu, ooh hela imekua ngumu cjui biashara haziendi.
Ukweli ni kwamba kuanzia hii awamu ya muheshimiwa imeanza maisha yamekua matamu mno, kila mtu anakula alichokitolea jasho.
Safi sana muheshimiwa, maisha yanazidi kuwa mazuri.
Nimekua nikisikia malalamiko eti ooh maisha magumu, ooh hela imekua ngumu cjui biashara haziendi.
Ukweli ni kwamba kuanzia hii awamu ya muheshimiwa imeanza maisha yamekua matamu mno, kila mtu anakula alichokitolea jasho.
Safi sana muheshimiwa, maisha yanazidi kuwa mazuri.