Aveva, uliahidi mechi tatu pointi tatu

Aveva, uliahidi mechi tatu pointi tatu

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
Mh Rais; Biashara Asubuhi kama Azam na Mtibwa wafanyavyo, kwa mwendo huu Ubingwa tutausikia tu Aveva, hebu tazama hii Mh Rais na ujue tunavyoumia, nasikitika kwamba Wapenzi wa Simba hukata tamaa mapema hivyo usishangae kuona mapato yakipungua pia............. 1.jpg
 
Mh Rais; Biashara Asubuhi kama Azam na Mtibwa wafanyavyo, kwa mwendo huu Ubingwa tutausikia tu Aveva, hebu tazama hii Mh Rais na ujue tunavyoumia, nasikitika kwamba Wapenzi wa Simba hukata tamaa mapema hivyo usishangae kuona mapato yakipungua pia.............View attachment 189215

Kama aliahidi mechi tatu point tatu, nadhani anaendelea vizuri kwa sababu hadi sasa mechi mbili point 2, nadhani hii ijayo ya Stand United atatimiza ahadi yake. Yetu macho na masikio.
 
Kama aliahidi mechi tatu point tatu, nadhani anaendelea vizuri kwa sababu hadi sasa mechi mbili point 2, nadhani hii ijayo ya Stand United atatimiza ahadi yake. Yetu macho na masikio.
wasiwasi ndio umenitanda kwenye jakamoyo ikiwa tutatoa doo na stendi tena puuuuuuuuuuuu
 
Mleta mada mmbea aliahidi goli Tatu point Tatu,sio mechi Tatu pointing Tatu.mnimesubiri
Uedit naona umeuchuna.
 
Mleta mada mmbea aliahidi goli Tatu point Tatu,sio mechi Tatu pointing Tatu.mnimesubiri
Uedit naona umeuchuna.
kama umemfuatilia MM nadhani utakua umepata muktadha wa mada yangu
 
Mbeya city FC.......karibun wanaJangwani,karibu wana simba.
 
Kwani alikua anagombea ukocha.?Mwenyekiti wapi na Wapi na matokeo ya uwanjani.?
 
namuona alipita karibu na jengo la yanga nini labda bado hajaanza ligi
 
utanipngezea kitu tar. 18

hiyo siku utatamani mpira uishe kabla ya dk.15 kwa hofu..maana mabeki wenu watamkaba COUTINHO na JAJA huku NGASA na MSUVA wakitupia kiulainiiiiiii...
 
hiyo siku utatamani mpira uishe kabla ya dk.15 kwa hofu..maana mabeki wenu watamkaba COUTINHO na JAJA huku NGASA na MSUVA wakitupia kiulainiiiiiii...
Hata hivyo mkuu cnjona mbona kwa timu ya simba ya msimu huu hakuna beki wa kumkaba coutinho.....
 
Mh Rais; Biashara Asubuhi kama Azam na Mtibwa wafanyavyo, kwa mwendo huu Ubingwa tutausikia tu Aveva, hebu tazama hii Mh Rais na ujue tunavyoumia, nasikitika kwamba Wapenzi wa Simba hukata tamaa mapema hivyo usishangae kuona mapato yakipungua pia.............View attachment 189215

Huyu jamaa anatuzingua kishenzii kama hawezi apige chini tushachoka sana
 
Kwani alikua anagombea ukocha.?Mwenyekiti wapi na Wapi na matokeo ya uwanjani.?
Kama alijua hilo kuwa mwenyekiti hahusiani na matokeo ya uwanjani mbona alinyosha vidole sita kwa kumaanisha kuwa mechi 3 kwa points 3???????????????????????????
 
Kuweni na subira jamani, ligi bado mapema sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom