Wewe unaonaje kama wewe ni funzadume??Ndugu jamaa na marafiki nawasalimu wote. Je Avatar ninayotumia sasa ina tatizo lolote au niendelee nayo tu. Nauliza hivi kwa kuwa kuna watu watatu tayari wameni-pm kuwa nibadilishe naomba maoni ya wadau
Funza