Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,172
- 34,282
una tatizo na sisi? Imekuuma me kua hivo au?? Means unatufuatilia sana keep it upMapenzi ya jf bwana ona sasa Archduke na Madame S nimejikuta nimecheka sana, Sesten Zakazaka ndo alikuwa anawaombea kila siku.
Ha ha ha ha niko hoi kwa kicheko halafu archduke kabla ya madame alikuwa na mwingine humu.
Halafu utambue me ni binadam wa kawaida kabisa si malaika of course ni define vyovyite utakavyoweza nitakipokea nikuulize tu swali umedate na wangapi till now? Sasa why kama unaniyooshea kidole hivi? Natumia bando ako? Nimedate na mmoja wa kaka zako humu labda ukaumia sana? Pls hii platform n kubwa ingependeza sana kama ungedili na njia zako nahisi sjawah kuweka pua yangu kwenye maisha yako sasa naomba iwe the same and yes as i told u nina hisia kama mwanamke aliekamilika ukiona kitu hakijakua vile inapaswa kua elewa si riziki na kile kinachokua vile inafaa ndio riziki na majaaliwa yako
Nimependa kuona kuna watu wanafatilia wenzao kwa kweli skuwa aware sanaaa
Hata hivo kama kuna nilipokukwaza unisamehe bure.