Autocad : Autocad :kwa Civil Engineers karibuni tujadili

Autocad : Autocad :kwa Civil Engineers karibuni tujadili

nguzo1

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
355
Reaction score
582
Hii ni maada maalum kwa Civil Engineers na hapa tutajadili kila kitu kuhusu ku design michoro ya structural mbalimbali ikiwemo majengo, barabara na madaraja pamoja na changamoto /uzoefu ulionao kwenye kutumia hii software.
Pia vile vile tujadili mapungufu au utofautina na urahisi wa kutumia wa AUTOCAD na software nyingine za ku design ikiwemo.. master series, revit, roboti na archcad.
Mimi binafsi naipenda sana na huwa naituma mara nyingi ku design michoro ya nyumba za kawaida (residential house) pamoja na majengo ya gorofa nitaweka hapa baadhi ya michoro niliyoichora..... Kama una swali lolote kuhusu autocad niulize pia ruksa kwa wengine ku changia maada.
Nawasilisha
 
sijakupata kaka, wewe ni -Engineer au ni Architect, nijbu kwanza ili nikusaidie kutoa mchango wangu wa kitaaluma
 
Mkuu Mimi ni 'Civil Engineer' karibu sana kwa mchango wako
 
Hii ni maada maalum kwa Civil Engineers na hapa tutajadili kila kitu kuhusu ku design michoro ya structural mbalimbali ikiwemo majengo, barabara na madaraja pamoja na changamoto /uzoefu ulionao kwenye kutumia hii software.
Pia vile vile tujadili mapungufu au utofautina na urahisi wa kutumia wa AUTOCAD na software nyingine za ku design ikiwemo.. master series, revit, roboti na archcad.
Mimi binafsi naipenda sana na huwa naituma mara nyingi ku design michoro ya nyumba za kawaida (residential house) pamoja na majengo ya gorofa nitaweka hapa baadhi ya michoro niliyoichora..... Kama una swali lolote kuhusu autocad niulize pia ruksa kwa wengine ku changia maada.
Nawasilisha

huu uzi sio mahali pake mkuu, mahali pake ni kule kwenye jukwaa la tech & technology
 
Tuache wivu jaman...hili ni jukwaa la elimu na yuko sahihi, Tubadilike tuache majungu..fnguka Ndugu kuhusu utaalamu wako na hayo ndio MABADILIKO ya kweli sio yale ya uswahilini.
Mm nina shida upande wa Arc GIS ninatumia online ambayo ni free so wakati na add layer kwa ku-upload file nakuta format haziendani na zilizoko kwenye pc yangu..so naomba kujua nifanyaje ili niweze kutumia au nipate uzoefu wa kudownload free software itakayofanya kazi kwenye PC zetu hizi za kawaida
 
Tuache wivu jaman...hili ni jukwaa la elimu na yuko sahihi, Tubadilike tuache majungu..fnguka Ndugu kuhusu utaalamu wako na hayo ndio MABADILIKO ya kweli sio yale ya uswahilini.
Mm nina shida upande wa Arc GIS ninatumia online ambayo ni free so wakati na add layer kwa ku-upload file nakuta format haziendani na zilizoko kwenye pc yangu..so naomba kujua nifanyaje ili niweze kutumia au nipate uzoefu wa kudownload free software itakayofanya kazi kwenye PC zetu hizi za kawaida
https://kat.cr/arcgis-10-3-t10677453.html
 
Hii ni maada maalum kwa Civil Engineers na hapa tutajadili kila kitu kuhusu ku design michoro ya structural mbalimbali ikiwemo majengo, barabara na madaraja pamoja na changamoto /uzoefu ulionao kwenye kutumia hii software.
Pia vile vile tujadili mapungufu au utofautina na urahisi wa kutumia wa AUTOCAD na software nyingine za ku design ikiwemo.. master series, revit, roboti na archcad.
Mimi binafsi naipenda sana na huwa naituma mara nyingi ku design michoro ya nyumba za kawaida (residential house) pamoja na majengo ya gorofa nitaweka hapa baadhi ya michoro niliyoichora..... Kama una swali lolote kuhusu autocad niulize pia ruksa kwa wengine ku changia maada.
Nawasilisha

Hebu nikuulize swali , wewe unakusudie ku design au Kuchora?

Kwa kutumia Autocad huwezi Kudesign unaweza kuchora tu. kama unataka kudesign lazima Utumie Program inaitwa Autodesk Robot Structural Analysis
 
Hebu nikuulize swali , wewe unakusudie ku design au Kuchora?

Kwa kutumia Autocad huwezi Kudesign unaweza kuchora tu. kama unataka kudesign lazima Utumie Program inaitwa Autodesk Robot Structural Analysis

Uko sawa mtambwe autocad ni kwa ajili ya kuchora ila structural analysis tunatumia iyo Roboti au Masters series. Je wewe umekutana na changamoto gani kwenye kuzitumia? na vile vile kuna umuhimu wa Civil Engineer kujua na kutumia ArchCad kwenye kuchora? ... tupe uzoefu wako.
 
Uko sawa mtambwe autocad ni kwa ajili ya kuchora ila structural analysis tunatumia iyo Roboti au Masters series. Je wewe umekutana na changamoto gani kwenye kuzitumia? na vile vile kuna umuhimu wa Civil Engineer kujua na kutumia ArchCad kwenye kuchora? ... tupe uzoefu wako.
Kujua kutumia Autocad ni Muhimu sana kwa Civil Enginer kwani Karibuni Programm zote za Structural Analysis zina Pluginn kwenye Autocad.
Mimi mwenyewe Nafanyakazi kwenye Cosuting Company ya Ujerumani kwa zaidi ya Miaka 14 sasa.
Programm tunayotumia inaitwa Sofistik (Sofi +). Hii ndio Programm bora Ulimwenguni kwa Structural Analysis, ubaya Wake ni very Comlicated. Ukitaka kuijua lazima uwe na Knowledge ya Programming Language kwa Mfano Fortran.
Hizo Programm nyengie Zote unazosema, Masters Series, Robot, Prokon , Dlubal, na nyenginezo, ni za Hobby
Hata mimi ninayo nyumbani Robot Structural Analysis 2015, lakini natumia private tu
 
Mkuu Mimi ni 'Civil Engineer' karibu sana kwa mchango wako

Ila mkuu autocad haitumiw na civil engineers tu, naona kama umelimit uzi kwa civil tu!! Kuna electrical...mechanical...agriculture engineers..irrigation engineers...architects
Sizan kama ni vyema kulimit uzi kwa civil tu!!
 
Hiyo sofi + niliwahi kuisikia ila sijaitumia kabisa nitaifanyia kazi niijue vizuri na vip kuhusu AchCAD?? ina umuhimu mkubwa kwa Civil Engineer?? Maana naona kuna baadhi ya watu wanaitumia kuchora kwa sababu ni rahisi kutumia.
 
Hiyo sofi + niliwahi kuisikia ila sijaitumia kabisa nitaifanyia kazi niijue vizuri na vip kuhusu AchCAD?? ina umuhimu mkubwa kwa Civil Engineer?? Maana naona kuna baadhi ya watu wanaitumia kuchora kwa sababu ni rahisi kutumia.

Nijuavyo hiyo ina mambo mengi kwa ajili ya muonekano, Architect anaitumia zaidi kuliko Engineer.
 
Kujua kutumia Autocad ni Muhimu sana kwa Civil Enginer kwani Karibuni Programm zote za Structural Analysis zina Pluginn kwenye Autocad.
Mimi mwenyewe Nafanyakazi kwenye Cosuting Company ya Ujerumani kwa zaidi ya Miaka 14 sasa.
Programm tunayotumia inaitwa Sofistik (Sofi +). Hii ndio Programm bora Ulimwenguni kwa Structural Analysis, ubaya Wake ni very Comlicated. Ukitaka kuijua lazima uwe na Knowledge ya Programming Language kwa Mfano Fortran.
Hizo Programm nyengie Zote unazosema, Masters Series, Robot, Prokon , Dlubal, na nyenginezo, ni za Hobby
Hata mimi ninayo nyumbani Robot Structural Analysis 2015, lakini natumia private tu

Mkuu thanks kwa kunikuna kunako mtima. Nafikiri nitakutafuta kule Pm, maana hiyo program sijwahi kuitumia, so najua naweza kupata darsa japo kiduchu. Engineering iko vast!
 
Ila mkuu autocad haitumiw na civil engineers tu, naona kama umelimit uzi kwa civil tu!! Kuna electrical...mechanical...agriculture engineers..irrigation engineers...architects
Sizan kama ni vyema kulimit uzi kwa civil tu!!

Ni kweli hapo nimeongea kwa watu wa Civil ila ruksa kwa watu wa field zingine nao kuweka mchango wao hapa as long as wanazitumia hizo program... Upepo karibu tupe uzoefu wako!!
 
Mi nimwanafunzi naninapenda sana kujua kuitumia hizi software hasa hasa AutoCAD na Arc GIS. Ila kwasasa naomba niwasikilize kwanza nitachangia hapo mbeleni.
 
Mkuu thanks kwa kunikuna kunako mtima. Nafikiri nitakutafuta kule Pm, maana hiyo program sijwahi kuitumia, so najua naweza kupata darsa japo kiduchu. Engineering iko vast!

Naona kabla ya kwenda PM ni bora kuweka hilo darasa hapa kwa faida ya wote..... Sharing
 
Back
Top Bottom